• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TANGAZO LA KAMPENI YA TOHARA KWA WANAUME ITAKAYOTOLEWA BILA MALIPO

08 August 2018

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na shirika la maendeleo la HJRMRI wanawatangazia wananchi wote kampeni ya huduma ya tohara kwa wanaume itakayotolewa bure.

Kampeni hiyo itatolewa katika zahanati ya Iwala wilayani Ileje, kituo cha Afya Mbuyuni wilayani Songwe na katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Songwe (vwawa).

Kampeni hii inaanza tarehe 6 mpaka tarehe 18, mwezi wa 8, 2018 na itatolewa kwa wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 10 na kuendelea, kwa watoto walio chini ya watoto 18 wafike na wazazi wao.

Wahi tohara, pata kinga, kuwa msafi.

Matangazo

  • WANAFUNZI KUTOKA MKOANI SONGWE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA VIPAJI December 18, 2018
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019 WILAYANI ILEJE December 18, 2018
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019 WILAYANI MBOZI December 18, 2018
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019 HALMASHAURI YA MOMBA December 18, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANESCO SONGWE WAPEWA SIKU TATU KUJIELEZEA

    February 15, 2019
  • YALIYOJIRI KATIKA ZIARA YA KATIBU TAWALA MKOA WA SONGWE DAVID KAFULILA WILAYANI ILEJE

    February 13, 2019
  • YALIYOJIRI KATIKA UZINDUZI WA MFUKO WA AFYA YA JAMII ULIOBORESHWA (iCHF) MKOA WA SONGWE

    February 10, 2019
  • YALIYOJIRI LEO KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI YA KUZUIA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI NA WATOTO WACHANGA MKOA WA SONGWE

    February 08, 2019
  • Angalia zote

Video

TUNATEKELEZA MKOA WA SONGWE.
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Boma Road, Vwawa, Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 . SONGWE RS.All rights reserved