• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CHAMA CHA WALIMU WAUNGA MKONO MAELEKEZO YA RAIS MAGUFULI MKOANI SONGWE

Posted on: November 13th, 2019

  Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) kimeunga Mkono maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ya ukamilishaji wa maboma ya Vyumba vya madarasa, kwa kuchangia Mifuko 400 ya saruji Mkoa wa Songwe.

Katika ziara yake Mkoa wa Songwe Rais Magufuli alipokea taarifa ya bakaa ya shilingi billioni Mbili ambapo alielekeza fedha hizo zitumike kukamilisha mabomba ya shule ambayo yamejengwa kwa nguvu za wananchi hususani katika Wilaya ya Mbozi.

Akikabidhi mchango huo kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CWT, Katibu wa CWT Mkoa wa Songwe Bi Emilia Mwakyoma amesema Chama cha Waalimu kinapongeza Serikali kwa kuhimiza uboreshaji wa miundombinu ya Elimu.

“Tunapongeza sana Juhudi za Serikali ya awamu ya tano na sisi kama wadau wa elimu tumechangia na tutaendelea kuchangia kwakuwa tunatambua kuwa serikali inatengeneza miundombinu mizuri ya wanafunzi kujifunzia pia waalimu watakuwa na mazingira mazuri ya kufanyia kazi.”, amesema Mwakyoma.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela ameipongeza CWT kwakuwa licha ya kutetea haki za waalimu wamekuwa mstari wa mbele katika kuthamini na kuchangia miundombinu ya elimu hasa kwa Mkoa wa Songwe.

Brig. Jen. Mwangela amesema mchango huo unapelekwa maeneo yenye uhitaji Zaidi huku akieleza kuwa Wilaya ya Mbozi mpaka sasa ina maboma 1510 hivyo wadau wengine wajitokeze kuendelea kuboresha miundombinu ya elimu Mkoani Songwe.

Naye Afisa Elimu Mkoa wa Songwe Juma Kaponda amesema kwa Mkoa wa Songwe jumla ya maboma 1601 yanaendelea kujengwa huku halmashauri ya Mbozi ikiongoza kwa kuwa na maboma mengi yaani 1510.

Naye Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Msanyila Wilayani Mbozi Gwakisa Mwalusaku amesema shule hiyo imejenga vyumba 16 ambapo mifuko kumi ya saruji waliyopokea kutoka CWT itaharakisha ukamilishaji wa vyumba hivyo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIO CHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 MKOA WA SONGWE December 07, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAFUNGWA 96 MKOANI SONGWE WAPATA MSAMAHA WA RAIS

    December 10, 2019
  • WARATIBU ELIMU WAZEMBE KUCHUKULIWA HATUA KALI MKOANI SONGWE

    December 06, 2019
  • MVUA ZAHARIBU NYUMBA ZAIDI YA 360 SONGWE

    November 20, 2019
  • CHAMA CHA WALIMU WAUNGA MKONO MAELEKEZO YA RAIS MAGUFULI MKOANI SONGWE

    November 13, 2019
  • Angalia zote

Video

ujenzi vituo vya Afya vitaokoa maisha ya akina mama wajawazito
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Boma Road, Vwawa, Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 . SONGWE RS.All rights reserved