• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAREKANI YAAHIDI USHIRIKIANO ZAIDI SONGWE, TANZANIA

Posted on: October 4th, 2018

  Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Inmi Patterson ameahidi kuwa Marekani itaendeleza ushirikiano mzuri na Mkoa wa Songwe pamoja na nchi ya Tanzania, mara baada ya kuwasili mkoani hapa kwa ajili ya ziara ya siku mbili.

Kaimu Balozi Patterson ametoa ahadi ya ushirikiano alipokutana na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus E. Mwangela ofisini kwake na kuongeza kuwa ana shukuru uongozi wa Mkoa kwa kudumisha ushirikiano mzuri.

“Serikali ya Marekani iko pamoja na serikali ya Tanzania katika kujenga Tanzania yenye elimu bora, afya bora na lishe bora, tunaahidi ushirikiano zaidi na mkoa wa Songwe”, amesema.

Kaimu Balozi Patterson ameongeza kuwa kuna miradi mbalimbali ambayo inafadhiliwa na nchi hiyo hivyo ziara yake pia imelenga kuimarisha ushirikiano katika miradi hiyo ili itekelezwe vizuri.

“Nilisikia mkoa umepata kiongozi mpya nikaona nifanye haraka kuja huku ili kwa pamoja tuendeleze ushirikiano mzuri na miradi mbalimbali tunayotekeleza huku ifanyike vizuri”, amesisitiza Kaimu Balozi Patterson.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus E. Mwangela amesema ziara ya Kaimu Balozi Patterson imekuwa nzuri kwakuwa Kaimu balozi huyo amepata taarifa za miradi wanayofadhili na kuahidi kuendelea kufadhili miradi mingine.

Brig. Jen. Mwangela amesema Kaimu Balozi Patterson ameguswa na tatizo la udumavu katika Mkoa wa Songwe na ameahidi kusaidia katika eneo la lishe, aidha miradi mingine ambayo ameahidi ushirikiano ni ya elimu na kilimo hususani kilimo cha Umwagiliaji.

Matangazo

  • ILEJE DC WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • MBOZI DC WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • MOMBA DC WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • SONGWE DC WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Dkt. SHEKALAGHE VYUO VYA UFUNDI NA VIKUNDI VYA UJASILIAMALI MBADALA KWA WANAFUNZI AMBAO HAWAJAFAULU

    December 18, 2020
  • Dkt. SHEKALAGHE AZITAKA HALMASHAURI KUTENGA PESA YA UJENZI WA MADARASA KILA MWAKA.

    December 18, 2020
  • SONGWE: WANANCHI WAHIMIZWA KUPIMA UKIMWI KUJUA HALI ZAO KUEPUKA MAAMBUKIZI MAPYA

    December 01, 2020
  • RC MWANGELA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUUZA BIDHAA KWA BEI ELEKEZI

    November 28, 2020
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Boma Road, Vwawa, Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.