• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ALICHOZUNGUMZA MKUU WA MKOA WA SONGWE, LT. MSTAAFU CHIKU GALAWA KATIKA KIPINDI CHA TUNATEKELEZA JANA TAREHE 26 MACHI, 2018.

Posted on: March 27th, 2018

Mkoa wa Songwe;

  • Mazao ya Biashara katika mkoa wetu ni Kahawa, Ndizi, Alizeti.
  • Pato la Mkoa wetu kwa mkoa wa Songwe ni Trilioni 1.3 kwa mwaka.
  • Mkoa umefanikiwa kuwa na Kiwanda cha kuchakata mbegu za Kilimo kwa ajili ya wakulima wetu
  • Tunayo master Plan ya mji wa Tunduma.
  • Viwanda Vidogo Songwe ni zaidi ya 2000.
  • Tunashukuru REA kwa kufikisha umeme katika maeneo mengi ya Mkoa wetu.
  • REA wameahidi kuwa katika mwaka huu wa fedha wataendelea kusambaza umeme katika maeneo ambayo hayajafikiwa.
  • Mkoa wa Songwe una utajiri wa madini ya ujenzi.
  • Tunashiriki Kikamilifu kudhibiti mapato ya madini katika mkoa wetu
  • Tumeagiza kuwa wachimbaji wadogo wajiunge katika vikundi ili wanufaike na mikopo inayotolewa na Serikali.
  • Wachimbaji wadogo wakijiunga katika vikundi watapatiwa mashine za uchenjuaji na pia wataweza kupatiwa leseni.
  • Uwepo wa migodi unawanufaisha wakulima na wazalishaji wa mboga na matunda.
  • Tumepata fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji.
  • Miradi yenye thamani ya bilioni 5 inaendelea ikilenga kutatua changamoto ya maji katika mkoa wetu.
  • Tunafanya vizuri katika kupunguza vifo vya akinamama wajawazito.
  • Upatikanaji wa Dawa ni asilimia 89 katika mkoa wetu.
  • Tunatarajia kuwa Mkoa wa mfano kwa kuwa na zahanati nyingi zaidi.
  • Tunamshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. John Magufuli kwa kuleta Sera ya elimu bure kwani imesaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa.
  • Tumefanikiwa kuwa na Kiwanda cha Kusindika Alizeti ili kuzalisha mafuta.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.