• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CHANJO YA UVIKO-19 OFISI KWA OFISI, NYUMBA KWA NYUMBA

Posted on: August 12th, 2022

CHANJO YA UVIKO-19 OFISI KWA OFISI, NYUMBA KWA NYUMBA

Na. Nicholas Ndabila

SONGWE: Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakipata chanjo ya UVIKO-19 ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya chanjo ya UVIKO-19 ya ofisi kwa ofisi, Nyumba kwa nyumba.

Watalamu wa Afya wanaendelea na Kampeni ya chanjo ya UVIKO-19 Nyumba kwa nyumba kwa mkoa mzima na sasa tunaanza ofisi kwa ofisi, amesema Dkt. Rose Alfred.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amesema kampeni hii itakwenda sambamba na ofisi kwa ofisi ili kuwafikia watu wengi na kuwakinga na ugonjwa wa wa UVIKO-19 ambao bado upo.

"Kwa sasa Mkoa wa Songwe una asilimia 17 tu za watu waliopata chanjo na kufanya Mkoa uwe mwisho kitaifa" Mhe. Waziri Kindamba.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Rose Alfredy amesema watalamu watapita kila ofisi iliyopo mkoani, pamoja na mikusanyiko mbalimbali lengo ni kufkia asilimia 70 ifikapo Disemba 2022 ya watu wote wenye umri wa zaidi ya miaka 18 wawe wamepata chanjo ya UVIKO-19.

Tumebaini watu wengi wanahitaji chanjo ila wanaona uvivu na wanakosa muda wa kwenda Kituo cha huduma za Afya kupata chanjo, sasa tunawafuta uko waliko, amesema Dkt. Rose Alfredy.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.