• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WARSHA YA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 KWA MKOA WA SONGWE

Posted on: July 27th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt Francis Michael ameongoza Warsha elekekezi ya Dira ya Taifa ya maendeleo 2050 iliofanyika katika Mkoa wa Songwe.

Warsha hii iliyokusanya viongozi wa ngazi mbalimbali na wadau wa maendeleo, ililenga kuweka msingi imara wa maendeleo ya kitaifa kwa miongo ijayo.

Katika hotuba yake ya ufunguzi, alisisitiza umuhimu wa kujenga mustakabali wa Taifa kwa kuzingatia mabadiliko ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Alieleza kuwa malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni kuongeza ufanisi wa utendaji katika kila sekta na kuhakikisha maendeleo endelevu yanapatikana kwa wananchi wote.

Warsha hii ilikuwa jukwaa muhimu ambapo washiriki walishirikiana mawazo na kujadiliana njia bora za kufikia malengo yaliyowekwa. Masuala kama maendeleo ya miundombinu, elimu, afya, kilimo, viwanda, na uhifadhi wa mazingira vilipewa kipaumbele katika majadiliano.

Dkt Francis aliwahimiza washiriki kufanya kazi kwa ushirikiano na kuweka mbele maslahi ya Taifa. Alisisitiza kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 unahitaji juhudi za pamoja kutoka kwa kila mmoja ili kufikia mafanikio yanayotarajiwa.

Washiriki wa warsha walipokea kwa mikono miwili mwelekeo wa kujenga Taifa bora na lenye mafanikio endelevu ifikapo mwaka 2050. Waliishukuru serikali ya Mkoa wa Songwe chini ya uongozi wa Mkuu wa Mkoa, Dkt. Francis Michael, kwa kuandaa warsha hii muhimu ambayo imechagiza ari ya kufanikisha malengo ya maendeleo ya Taifa.

Akifunga  Warsha hiyo Elekekezi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Dkt. Francis Michael aliahidi kusimamia utekelezaji wa mipango na mikakati iliyowekwa kwa dhati na kuhakikisha kwamba maendeleo yanawafikia wananchi wa Mkoa wa Songwe na Tanzania kwa ujumla.

MWISHO.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.