• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DKT. KASULULU AZITAKA CHMT ZIFANYE KAZI KWA KUFUATA MIONGOZO, SERA NA SHERIA ZA AFYA.MBOZI:

Posted on: May 7th, 2022

DKT. KASULULU AZITAKA CHMT ZIFANYE KAZI KWA KUFUATA MIONGOZO, SERA NA SHERIA ZA AFYA.MBOZI: Mganga Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Boniface Kasululu amezitaka Timu za usimamizi na uendeshaji wa huduma za Afya ngazi Halmashauri kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, miongozo na sera ambazo zimetolewa na Serikali na Wizara ya sekta ya Afya.Dkt. Kasululu amesema hayo wakati akiongea na Timu ya usimamizi na uendeshaji wa huduma za Afya (CHMT) ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, 7 Mei 2022.'Kama wewe ni mratibu wa chanjo basi lazima ufanye kazi kwa kufuata miongozo ya chanzo na ujue kila chanjo kwa kina na kama wewe ni Ustawi wa jamii basi lazima uzijui sheria zote, miongozo na kanunni za Ustawi wa jamii" Dkt. Boniface Kasululu.Pia, Dkt. Kasululu amemtaka kila mjumbe wa CHMT awe na miongozo na kuisoma vizuri ili azifahamu vizuri sheria  mbalimbali za Afya kwa ajili ya kumsaidia katika utendaji kazi wake.Mganga Mkuu wa Mkoa anaendelea na utaratibu wa kukutana na watalamu wa Afya kuanzia ngazi ya Halmashauri hadi kwenye vituo vya kutolea huduma kwa lengo la kuwakumbusha misingi na kanunni za sekta ya Afya katika kuwahudumia wananchi wa Mkoa wa Songwe.MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.