• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DKT SHEKALAGHE AWASILI SONGWE, AAHIDI KUTOVUMILIA WATUMISHI WASIO WAADILIFU

Posted on: July 22nd, 2020

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Dkt Seif Abdallah Shekalaghe amewasili rasmi leo katika ofisi za Mkoa wa Songwe na kupokelewa na viongozi mbalimbali pamoja na watumishi wa ofisi hiyo.

Mara baada ya Mapokezi hayo yalio ongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela, Dkt Shekalage amezungumza na watumishi wote wa Ofisi hiyo na kuwaahidi ushirikiano wa hali ya juu huku akiwa eleza kuwa katika utendaji wake hatoweza kumvumilia mtumishi yeyote ambaye si mwadilifu.

“Mtumishi asiye mwadilifu si rafiki yangu, lakini nawahakikishia katika utendaji wangu sitamuonea mtumishi yeyote isipokua akitenda maovu na nikipata ushahidi basi sheria itafuata mkondo wake”., amesema Dkt Shekalaghe.

Amesema anapenda watumishi wote wafanye kazi kwa ushirikiano, Umoja, uwazi uzalendo, uadilifu na kazi watakazofanya zilete matokeo chanya katika maendeleo ya Mkoa wa Songwe.

Dkt Shekalaghe ameongeza kuwa utendaji kazi wake utakuwa wa kufuata taratibu na sheria zote huku akiahidi kuwathamini watumishi wa ngazi zote kwani anaamini hata mtumishi wa ngazi ya chini anao mchango mkubwa katika maendeleo hivyo watumishi wawe huru kumuona wanapomuhitaji.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela amemkaribisha Dkt Shekalaghe na kumuahidi ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yake huku akiwataka watumishi wote kumpa ushirikiano wa kutosha bila fitna au matatizo yoyote.

Brig. Jen. Mwangela amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemuamini Dkt Shekalaghe kuwa anao mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya haraka kwa Mkoa wa Songwe hivyo atumie uzoefu wake katika kuwasaidia wananchi wa Songwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.