• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Dr. SHEKALAGHE: KUTATUA CHANGAMOTO ZILIZOPO HOSPITALI TEULE NA HOSPITALI MPYA YA MKOA ITAKAPOANZA.

Posted on: November 16th, 2020

SONGWE: RAS SHEKALAGHE: KUTATUA CHANGAMOTO ZILIZOPO HOSPITALI TEULE NA HOSPITALI MPYA YA MKOA ITAKAPOANZA.

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Dr. Self Shekalaghe ameuagiza uongozi wa Hospitali Teule ya Mkoa wa Songwe kumuletea changamoto zote zinazowakabili katika utendaji kazi zilizopo sasa na zile ambazo wanaona zitatokea pale watakapoamia kwenye Hospitali mpya ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.

“Nataka mukiamia kwenye Hospitali mpya ya Rufaa ya Mkoa changamoto zilizopo hapa zisijirudie na zile ambazo munaona zitajitokeza basi tuone jinsi gani ya kuzimaliza haraka kabla hamjaamia pamoja na kuzitatua zilizopo kwenye Hospitali Teule hii” Katibu Tawala mkoa wa Songwe, Dr. Self Shekalaghe akiongea na watumishi wa Hospitali Teule ya Mkoa wa Songwe, 16 Novemba 2020.

Pia, Katibu Tawala wa Mkoa ameagiza ifikapo 23 Novemba 2020 kuanza kwa ujenzi wa eneo la kusubiria wagonjwa katika Hospitali Teule ya Mkoa wa Songwe ambayo imekuwa ni kero kwa watu wanaokuja kuona au kuleta wagonjwa.

Wakati huhuo  Dr. Shekalaghe ametaka kupata tathimini ya fedha ya kila mwezi kuanzia Januari-June 2020 na kwa mwaka wa fedha 2020/2021 hadi sasa ikionyesha kila Idara kwenye Hospitali ilichopata kwa mwezi, lengo ilikuwa ipate ngapi na kipi Serikali imepeleka pamoja na kilichorudi.

Mkoa wa Songwe unatumia Hospitali iliyokuwa ya Wilaya ya Mbozi ambayo kwa sasa inaitwa Hospitali Teule ya Mkoa wa Songwe na kwa sasa Mkoa wa Songwe unajenga Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ambayo iko hatua za ukamilishaji.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.