• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FANYA KAZI NENDA LIKIZO, RAS SENEDA.

Posted on: August 11th, 2022

FANYA KAZI NENDA LIKIZO, RAS SENEDA.

SONGWE: Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda ametoa wito kwa watumishi kuchukua likizo muda unapofika.

Katibu Tawala Mkoa amesema ili mtumishi aweze kufanya kazi kwa ufanisi kazini likizo ni ya lazima ni muhimu.

Katibu Tawala amesma hayo wakati akiongea na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi na Halmashauri ya Mji Tunduma kwa nyakati tofauti Agosti 10 alipofanya ziara maalumu ya kujitambulisha kwako.

"Ndugu zangu kazi izi tunafanya ni ngumu sana, hivyo lazima mtumishi upate muda wa kupumzika muda wako unapokuwa umefika" Bi. Happiness Seneda

Pia, Katibu Tawala Mkoa wa Songwe amewataka wakuu wa Idara na vitengo kuwashirikisha kazi zote watumishi walio chini yao ili mtumishi anapokwenda likizo basi kuwe na mtu wa kufanya kazi izo.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI DATA CLEARK, CLINICIAN NA NURSE October 01, 2021
  • FURSA ZA AJIRA KWA MKOA WA SONGWE September 02, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAANDALIWE VIZURI KUPOKEA MRADI, RC KINDAMBA.

    October 27, 2022
  • RAIS SAMIA ARIDHIA WANANCHI WA NKANKA KUBAKI KWENYE HIFADHI.

    October 24, 2022
  • SILINDE: KITONGOJI CHA NKANKA KUPATA SHULE, BARABARA.

    October 24, 2022
  • WAKULIMA KUPATA MBOLEA YA RUZUKU KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA.

    October 22, 2022
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.