• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FOLENI YA MALORI TUNDUMA, RC MICHAEL AUNDA TIMU YA UTATUZI.

Posted on: June 14th, 2023

FOLENI YA MALORI TUNDUMA, RC MICHAEL AUNDA TIMU YA UTATUZI.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis Michael ameunda timu maalumu ambayo itakuwa na kazi ya kutatua foleni ya Malori iliyopo katika Mji wa Tunduma, timu hiyo ni kutoka kwa madereva ambao watawakilishwa na vyama vyao, TANROADS, TRA, Jeshi la Polisi (RTO) na mawakala.

Mkuu wa Mkoa ameunda timu hiyo baada ya kufanyika kikao kazi cha utatauzi wa foleni ya Malori kilichowakutanisha viongozi kutoka vyama vya madereva, wamiliki wa Malori, Mawakala wanaovusha magari, Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), Wakala wa Barabara (TANROADS) Songwe, Jeshi la Polisi pamoja na viongozi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Wilaya ya Momba kilichofanyika ofisini kwake, Juni 14.

Mkuu wa Mkoa amesema timu aliyoiunda inatakiwa kuwasilisha mapendekezo, maoni ya muda mfupi na ya muda mrefu kuhusu utatauzi wa foleni ya Malori kwa kuwa wao ndio wanazijua changamoto vizuri.

"Kuna changamoto ambazo ziko ndani ya uwezo wetu hapa, hivyo nendeni mfanye kazi kwa pamoja na mje na majibu sahihi ya nini tufanye Serikali kwa kushirikiana na nyinyi katika kutatua foleni hii" Mhe. Dkt. Francis Michael.

Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt. Francis Michael ameielekeza timu hiyo kufanya kazi kwa wazi, bila upendeleo katika kutatua foleni iliyopo Mji wa Tunduma.

Wakati timu iliyoundwa inaendelea kufanya kazi yake, Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt. Francis Michael ameendelea kufanya mazungumzo ya kidplomasia na viongozi wa Serikali ya Zambia kutoka Mkoa wa Muchinga kutatua mambo yaliyopo ndani ya uwezo wa viongozi hao.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.