• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FOODtech NA MIKAKATI YA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA SONGWE.SONGWE:

Posted on: May 19th, 2022

FOODtech NA MIKAKATI YA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA SONGWE.SONGWE: 

Kampuni ya FOODtech kutoka nchini Zimbabwe imekuja Songwe kuangalia uwezekano wa kujenga kiwanda cha Mbolea na kuzalisha Mbolea ya asili ambayo inatokana na masalia ya makaa ya mawe katika Mgodi wa Kiwila uliopo Wilaya ya Ileje.Mtendaji Mkuu wa FOODtech, Ngoni Chandiwana amesema  wamevutiwa kuja kuwekeza Songwe kwa sababu ya uwepo wa malighafi ya kuzalisha Mbolea, miundombinu ya reli ya TAZARA na lengo la FOODtech ni kushika soko la Afrika Mashariki."Mazungumzo yakienda vizuri na Serikali ya Tanzania tunaanza kuwekeza muda wowote kuanzia sasa kwani mahitaji ya Mbolea ni makubwa na sisi tumeamua kutumia maligahafi za Afrika kuzalisha Mbolea ili kupunguza bei ya Mbolea kwenye soko" Mtendaji Mkuu wa FOODtech, Ngoni Chandiwana.Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba amesema Songwe ndio Mkoa ambao unaongoza kwa matumizi ya Mbolea hivyo kitendo cha FOODtech kuonyesha nia ya kujenga kiwanda hapa Songwe wamepatia.Mhe. Omary Mgumba amesema ujio wa FOODtech unakwenda kuongeza upana wa matumizi ya makaa ya mawe, kuongeza ajira kwa watanzania, kuongeza ukuwaji wa uchumi wa Mkoa wa Songwe.Pia, Mkuu wa Mkoa amesema hadi sasa Mgodi wa Kiwila una akiba ya tani Milioni 110 ambazo bado hazijachimbwa za makaa ya mawe, tani Milioni 98 zipo katika machimbo ya Kabulo na tani Milioni 12 zipo katika Mgodi wa chini wa Kiwila.Aidha, Mkuu wa Mkoa, Mhe. Omary Mgumba amesema hadi sasa Nchi ya Nigeria imeanza kununua tani laki 702,000, uku mazungumzo kati ya Nchi ya China kununua tani Milioni 1.2 na India kununua tani laki 6 yakiendelea.Uwekezaji wa FOODtech unatarajia kuzalisha Mbolea zaidi ya tani 200,000 kwa mwaka.MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.