• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA SONGWE JITATHIMINI KWA KUPATA HATI YA MASHAKA: RC MICHAEL.

Posted on: June 16th, 2023

HALMASHAURI YA SONGWE JITATHIMINI KWA KUPATA HATI YA MASHAKA: RC MICHAEL.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis Michael ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kujitathimini na kujipanga vizuri na kutoruhusu tena Halmashauri hiyo kupata hati ya mashaka kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Mkuu wa Mkoa ametoa agizo hilo kwenye Baraza la kujadili Hoja za Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) lililofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Songwe.

"Ninafahanu uwezo wwenu ilivyo vizuri, sina shaka kabisa na Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi pamoja na Baraza la Madiwani jipangeni vizuri" Mhe. Dkt. Francis Michael.

Mhe. Dkt. Francis Michael amelitaka Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kusimamia kwa ukaribu Halmashauri yao ili wasipate tena hati ya mashaka kwa mwaka fedha 2022/2023.

"Waheshimiwa madiwani tunapokuwa tuna hoja nyingi kwenye Halmashauri na kupata hati ya mashaka hii ina maanisha kwamba Madiwani hamsimamimi Halmashauri, sasa msikubali watalamu wenu wawafanye kuwa nyie hamjui kitu chukueni hatua" Mhe. Dkt. Francis Michael.

Mkaguzi wa nje wa Mkoa wa Songwe, CPA Chausiku Maro ametoa wito kwa watalamu kutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoa maelezo au nyaraka ambazo zinaweza kuzuia kuandika hoja mara wanapokuwa wamefika kufanya ukaguzi.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe, CPA Cecilia Kavishe amesema wamechukua hatua kwa baadhi ya watalamu waliosababisha hati ya mashaka.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe, Mhe. Abrahamu Sambila amesema ataunda timu maalumu kutoka kwa waheshimiwa madiwani na itafundishwa vizuri ili iweze kufuatilia hoja kwa karibu na kuhakikisha Halmashauri haipati hati ya mashaka tena.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.