• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

JUHUDI ZAHITAJIKA KUTATUA CHANGAMOTO WANAFUNZI KUHITIMU BILA KUJUA KUSOMA.

Posted on: September 10th, 2022

JUHUDI ZAHITAJIKA KUTATUA CHANGAMOTO WANAFUNZI KUHITIMU BILA KUJUA KUSOMA.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amewaagiza wasimamizi wa Elimu kuhakikisha wanatatua changamoto ya wanafunzi kumaliza elimu ya Msingi bila kujua stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu.

Mkuu wa Mkoa alisema Hayo wakati akiongea na wakuu wa Wilaya , wakurugenzi, waratibu elimu Kata pamoja na wadhibiti ubora wa Elimu katika Hafla ya uzinduzi wa Miongozo ya kuboresha elimu Mkoa wa Songwe iliyofanyika Septemba 10.

Alisema miongoni mwa changamoto katika Sekta ya Elimu ni wanafunzi wa darasa la kwanza kuingia darasa la pili bila kumudu stadi za kujua kusoma, kuhesabu na kuandika , Hivyo kusababisha wengine kuhitumu mpaka darasa la Saba bila kujua kusoma.

Mhe. Kindamba amewataka waratibu Elimu Kata kawasimamieni walimu ili wakaongeze nguvu ya kufundisha na kuhakikisha mwanafunzi anayefikia darasa la pili anaweza kumudu stadi tatu za kujua kusoma , kuhesabu na kuandika

"Lengo la Serikali kuanzisha Miongozo ya kuboresha elimu nchini ni kuhakikisha tunatoa wanafunzi Bora ambao wataweza kushindana katika soko la ajira la ndani na nje ya Nchi" alieleza Mkuu wa Mkoa.

Aidha Mkuu wa Mkoa amemwagiza Kamanda wa Polis Mkoa wa Songwe wakishirikiana na wanasheria kuhakikisha wanawakamata na kuwachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi wote wanaotelekeza watoto.

"Hii mikoa ya nyanda za juu kusini imekithiri kwa kiasi kikubwa vitendo vya utelekezaji watoto wadogo chini ya miaka mitano na kuwakosesha haki zao za Msingi watoto . Kamanda wa Polis Mkoa hakikisha hili linakomeshwa na wale wote watakao kuwa wanabainika kuchukuliwa hatua Kali za kisheria" alisema Kindamba.

Kwa upande wake Afisa Elimu Mkoa wa Songwe Michael Ligola alisema miongoni mwa sababu zinazopelekea wanafunzi kuhitumu elimu ya Msingi bila kujua kusoma kuwa ni pamoja na uhaba wa walimu madarasa ya awali na darasa la kwanza ambako ndiko kwenye Msingi Mzuri wa kumudu Kkk tatu.

"Mwongozo Unamtaka mwalimu mmoja wa awali aweze kuwafundisha wanafunzi 25, Lakini kwa upande wa Mkoa wetu wa Songwe kutokana na upungufu wa walimu mwalimu mmoja alazimika kufundisha wanafunzi zaidi ya 75 " alieleza Afisa Elimu.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.