• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kikaokazi cha Afya

Posted on: August 31st, 2017

Kikaokazi cha Watendaji na Wataalam wa Afya Mkoani Songwe

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Chiku Gallawa alitoa agizo wakati wa kikaokazi kilichoshirikisha Watendaji na Wataalam wa Afya katika Halmashauri zote Mkoani Songwe kuwa kaya zote zinakuwa na vyoo bora ili kuepusha hatari ya magonjwa ya mlipuko ikiwa ni utekelezaji wa sera ya Afya ya kufikisha asilimia 30 ifikapo mwaka 2020.

Mkuu wa Mkoa alisisitiza kuwa baada ya muda uliotolewa kupita na maagizo hayakufikiwa, Mahakama itahamia katika Vijiji ili kutoa adhabu stahiki kwa watakaokaidi agizo hilo.

Chiku Gallawa alisema usafi wa mazingira unatakiwa ufanyike kila siku katika ngazi ya Kaya na usafi wa utaratibu wa kila Jumamosi ya wiki ya mwisho wa mwezi ni wa kufanya kwenye maeneo korofi kama Madampo, Makaburi, Mifereji na sehemu zingine  alisisitiza.

Aidha, Chiku Gallawa akisomewa taarifa ya hali ya Afya ya Mkoa wa Songwe alisema hakuridhishwa na hali ya afya hivyo alimtaka Afisa Afya wa Mkoa George Mgallah kuongeza jitihada kutoa elimu kwa wananchi kabla ya kuanza utekelezaji wa agizo hilo.

Vilevile Mkuu wa Mkoa alisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali kuu na Serikali za Mitaa alisema “ Mahali ambapo hakuna ushirikiano kati ya Serikali kuu na Serikali za Mitaa anayeathirika ni mwananchi na tabia hiyo inatokana na ubinafsi wa Watendaji hao na hili tusiliruhusu katika Mkoa wa Songwe” alisema nafasi ya Afisa Tarafa ni Muhimu kwa sababu ana majukumu mawili kwani anatoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri kwa hiyo akitumika vizuri atamsaidia Mkurugenzi kusimamia Kata.

Pamoja na hayo Chiku Gallawa alisema kuwa Mkoa unatafuta vyombo vya usafiri aina ya Pikipiki ili kumfanya Afisa Tarafa kuweza  kusimamia kwa urahisi shughuli za Maendeleo katika eneo lake.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.