• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MALIPO YA MILIONI 511 BILA RISITI ZA EFD ZAWAWEKA PABAYA WATUMISHI.MBOZI

Posted on: June 18th, 2022

MALIPO YA MILIONI 511 BILA RISITI ZA EFD ZAWAWEKA PABAYA WATUMISHI.MBOZI

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbozi kumpatia maelezo ndani siku 2 kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi na Uhasibu kwa nini walifanya malipo ya zaidi milioni 511 kwa watoa huduma bila uwepo wa risiti za kielotriniki za (EFD) kwa mwaka wa fedha 2020/2021.


Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo hayo wakati wa Baraza la kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika 18 Juni 2022.Mkuu wa Mkoa amesema manunuzi na malipo kwa watoa huduma ambao hawana risiti za kielotriniki (EFD) zaidi ya thamani ya Milioni 860 na baada ya kuwasilisha risiti zimebaki Milioni 511 ambazo risiti zake hazijawasilishwa.


"Kwenye hili mumeonyesha dharua kubwa kwa Serikali na viongozi kwa sababu maelekezo yaliishatolewa, kama mtu hana EFD risiti malipo yasifanyike lakini bado nyie mumelipa" Mhe. Omary Mgumba.


Pamoja na kutoa maelekezo ndani ya siku 2, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba ameagiza hatua za kinidhamu zichukuliwe kwa watu wa fedha na manunuzi pamoja na watumishi wote waliohusika kuruhusu malipo  ya zaidi Milioni 511 bila uwepo wa risiti za kielotriniki


Mkuu wa Mkoa amesema jambo hili lina upotevu wa fedha za Serikali na viashiria vya malipo hewa ya Serikali ndio maana kuna ukosefu wa risiti za kielotriniki za EFD.


Wakati huo huo amepiga marufuku Serikali kufanya kazi na Kampuni au mfanyabiashara ambaye hajasajiliwa na GPSAMWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.