• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MARUFUKU KUTOA VITISHO KWA WATUMISHI WA SERIKALI-MWENYEKITI CCM SONGWE

Posted on: August 28th, 2019

  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Songwe Eliniko Mkola amewapiga marufuku viongozi wa Chama hicho Mkoani Songwe kutoa vitisho vya aina yoyote kwa Watumishi wa Serikali Mkoani hapa.

Mkola ametoa marufuku hiyo jana wakati wa kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Songwe kilichoketi kupotea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa kipindi cha Januari mpaka Juni 2019 ambapo taarifa hiyo ilipokelewa na kupitishwa.

“Liko tatizo la baadhi ya viongozi wa chama kusikiliza maneno na kutoyafanyia uchunguzi pia Wapo baadhi ya viongozi wa Chama hutishia viongozi wa Serikali, ni marufuku kwa vitendo hivyo kuanzia leo” amesisitiza Mkola.

Ameongeza kuwa taasisi zote zinafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu hivyo ni vema kujenga mazoea ya kuzisoma ili viongozi wa chama na wale wa serikai kila mmoja ajue mipaka yake ya utendaji kazi.

Mkola ametoa rai kwa viongozi wa chama na serikali kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuujenga Mkoa wa Songwe kwani wote wana nia moja ya kuhakikisha maendeleo yanapatikana Mkoani hapa.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali Nicodemus Mwangela amesema viongozi wa serikali waliopo hawana nia ya kuuharibu Mkoa wa Songwe hivyo viongozi wa chama wawatumie katika kuhakikisha wananchi wanapata maendeleo.

Brig. Jen. Mwangela ameongeza kuwa endapo viongozi wa chama wataona kuna mambo kwenye Mkoa au Halmashauri zao hayaendi vizuri wawasilishe masuala hayo kwa viongozi walioko Mkoani hapa ili yafanyiwe kazi na pia wajitahidi kuepuka misuguano isiyo ya lazima.

 Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila amesema Viongozi wa chama na Serikali wasioneane aibu kuelezana ukweli kuhusu mapungufu ya baadhi ya watendaji wa serikali kwani kufanya hivyo maendeleo ya Mkoa yatachelewa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.