• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MBIO ZA MWENGE KATIKA MKOA WA SONGWE

Posted on: April 14th, 2017

Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Mkoa wa Songwe zilianza Aprili 11, 2017 katika Wilaya ya Momba ambapo miradi 18 iliwekwa  Mawe ya Msingi na kuzinduiliwa kati ya miradi hiyo 7 ilikuwa katika Halmashauri ya Momba na 11 katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma.

Miradi  iligharimu Jumla ya Shilingi 3,973,000,000.00 kutoka Serikalini na Shilingi 11,272,400.00  mchango wa Wananchi.

Aidha hali ya upimaji wa VVU/UKUMWI kwa hiari wakati wa mkesha wa Mwenge ilionesha kuwa watu wazima 27 kati ya hao kiume 9 na Wanawake 18 walipata maambukizi kati ya watu 567 waliopimwa. Kati ya hao watu wazima walikuwa 496 ambapo 269 walikuwa Wanaume na 287  Wanawake sawa na maambukizi kwa 5%. Watoto 71 walipima, kati ya hao Wavulana walikuwa 35 na Wasichana 36 na hakuna mtoto aliyeonesha kuwa na maambukizi.

Ili kupunguza maambukizi mapya watu 798 walipata ushauri na kugawiwa Kondomu kati ya hao wanaume walikuwa 619 na  Wanawake 197. Jumla ya Kondomu 7,182 zilisambazwa.

Mwenge ulikabidhiwa katika Halmashauri ya Ileje Aprili 13, 2017. Jumla ya miradi 5 ilizinduliwa, kufunguliwa na kukaguliwa ikiwa na thamani ya Shilingi 395,299,000.00

Wakati wa mkesha wa Mwenge watu 446 walipima VVU/UKIMWI kati ya hao wanaume 360 na Wanawak 106. Maambukizi yalikuwa  wanaume 4 na Wanawake 2 jumla 6 ambapo ni sawa na asilimia 1.5 ya maambukizi.

Mwenge ulikabidhiwa katika Wilaya ya Mbozi ambapo miradi 6 ilikaguliwa, zinduliwa na kuwekwa mawe ya msingi yenye jumla ya Shilingi 3,016,656,250 kwa mchanganuo wa Shilingi 8,877,000 kutoka Serikali kuu, 1,775,400 kutoka Halmashauri ya Wilaya, 686,003,850 mchango wa Jamii na 2,320,000,000 kutoka kwa Wafadhili.

Mwsho Mwenge ulikimbizwa katika Wilaya ya Songwe ambapo miradi 5 ilipitiwa yenye thamani ya Shilingi 564,389,160. fedha hizo zilitokana na michango kutoka Serikali kuu Shilingi 179,255,000, Halmashauri ya Wilaya 42,000,000, Jamii 70,515,160 na Wafadhili 272,619,000

Aidha, zoezi la upimaji VVU/UKIMWI lilifanyika katika eneo la mkesha ambapo watu 430 walipima damu kati ya hao Wanaume  walikuwa 220 na Wanawake 210. Hali ya maambukizi ilikuwa wanaume 11 na wanawake 4 jumla watu 15 sawa na asilimia 3.

 Ili kupunguza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI elimu juu ya matumizi ya kondomu ilitolewa ambapo mipira ya kiume (Kondomu) 12,960 zilitolewa kwa wanaume na 150 kwa wanawake. 



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.