• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MIRADI YA BILIONI 7 KUTEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU SONGWE

Posted on: May 12th, 2018

 Miradi ya maendeleo 27 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 7 inatarajiwa kuzinduliwa, kutembelewa na kuwekewa mawe ya msingi na Mwenge wa uhuru katika mkoa wa Songwe.

Katika sekta za elimu, afya, barabara, maji, kilimo na ufugaji miradi itakayozinduliwa na mwenge wa uhuru itaboresha utoaji na upatikanaji wa huduma, huku uwekaji wa mawe ya msingi na kutembelewa kwa miradi hususani ya ujenzi utawezesha kukamilika miradi hiyo kwa muda uliopangwa na kwa ubora unaotakiwa.

  Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa ameeleza kuwa mchango wa nguvu za wananchi ni shilingi milioni 391 katika miradi hiyo ambayo ni chachu ya maendeleo kwa mkoa wa Songwe huku fedha kutoka serikali kuu ni bilioni 4, fedha za mapato ya ndani kutoka halmashauri milioni 555 na fedha kutoka kwa wahisani bilioni 1.4.

Aidha, Gallawa ameupokea mwenge wa uhuru kutoka mkoa wa Rukwa Mei 11, 2018 na kubainisha kuwa vijiji 38 na halmashauri zote tano zitapitiwa na mwenge wa uhuru kwa umbali wa kilomita 619.9, kisha kukabidhiwa mkoani Mbeya Mei 16, 2018.

Ujumbe wa mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2018 ni “Elimu ni Ufunguo wa Maisha; Wekeza sasa kwa maendeleo ya taifa letu”, pia mbio za Mwenge wa Uhuru zinahimiza masuala mengine muhimu ya Kitaifa ambayo ni Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya kwa kauli mbiu ‘Tuwasikilize na Kuwashauri Watoto ili Wasitumie Dawa za Kulevya’.

Jumbe nyingine ni Mapambano dhidi ya Rushwa kwa kauli mbiu ‘Kataa Rushwa, Jenga Tanzania’, Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI kwa kauli mbiu ‘Mwananchi Jitambue, Pima Afya yako sasa’ na Mapambano dhidi ya Malaria kwa kauli mbiu, ‘Shiriki Kutokomeza Malaria kwa Manufaa ya Jamii’.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.