• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA SONGWE MHE. DKT FRANCIS K. MICHAEL AKABIDHI MAGARI KUMI (10) KUONGEZA NGUVU KATIKA SEKTA YA AFYA.

Posted on: February 20th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Francis Michael, ametoa maelekezo mahususi kwa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Mkoa huo kuhusu matumizi ya magari ambayo yametolewa na serikali kwa ajili ya usimamizi wa shughuli za afya na kubebea wagonjwa. Maelekezo hayo yalitolewa leo Februari 20, 2024, wakati wa hafla ya makabidhiano ya magari 10 kwa wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Songwe Makabidhiano hayo



 yamefanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wilayani Mbozi Mbozi.Dkt. Francis amewaagiza Wakurugenzi hao kuhakikisha kuwa magari hayo yanatumika kwa malengo yaliyokusudiwa na si kwa shughuli nyingine yoyote. Amesema, "Hatutarajii kuyaona magari ya wagonjwa yakitumika kwa shughuli nyingine tofauti na kusafirisha wagonjwa.

"Aidha, amewataka Wakurugenzi hao kutenga bajeti kwa ajili ya kufanya matengenezo endelevu ya magari hayo ili kuepusha kuchakaa mapema na kushindwa kufanya kazi. Amesisitiza umuhimu wa matumizi sahihi ya magari hayo katika kukabiliana na changamoto za vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto wachanga vinavyotokea kutokana na kuchelewa kusafirishwa kutoka vituo vya ngazi ya chini kwenda kwenye vituo vinavyotoa huduma za dharura.

Dkt. Francis ameeleza kuwa, kati ya magari hayo 10, manne ni kwa ajili ya usimamizi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, pamoja na timu za usimamizi za Wilaya za Songwe na Ileje. Magari sita yatapelekwa katika kila jimbo kwenye Halmashauri zote za Mkoa wa Songwe. Mkoa huo bado unatarajia kupokea magari matatu mengine kwa ajili ya timu za usimamizi katika Halmashauri za Wilaya za Mbozi na Momba, pamoja na Halmashauri ya Mji Tunduma.Kabla ya kupokea magari hayo 10, Mkoa wa Songwe ulikuwa na magari 13 tu, ukilinganisha na mahitaji halisi ya magari 30 kwa ajili ya shughuli za usimamizi wa huduma za afya na kubebea wagonjwa, alisema Mganga Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Boniphace Kasululu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.