• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA SONGWE MHE. DKT FRANCIS K. MICHAEL AONGOZA KIKAO CHA BODI YA BARABARA

Posted on: March 5th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Dkt. Francis Michael ameongoza kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Songwe kilicho husisha Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na wakala wa barabara Vijijini na Mjini(TARURA).


Kikao hicho kimefanyika leo Jumanne Machi 05, 2024 katika ofisi za Mkoa za Mkuu wa Mkoa huyo zilizopo Nselewa, Mbozi.



Kikao hicho ambacho pia kimehudhuriwa na Katibu Tawala wa Mkoaa huo, Bi. Happiness Seneda,Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti wa halmashauri, Wabunge na Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Suleman Bishanga, kimewahusisha wakuu wa Taasisi za Serikali za Mkoa kamati ya Usalama ya mkoa na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Mkoa wa Songwe.



Kikao hicho kimejadili jitiha na mbinu mbalimbali katika kuboresha miundombinu ya barabara katika mkoa wa Songwe.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS DKT HAWASSI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU

    February 13, 2026
  • SIKU 100 ZA TABASAMU SONGWE RC MAKAME AZINDUA MFUMO WA KIDIJITALI “SONGWE SERIKALI KIGANJANI”.

    February 07, 2026
  • RC MAKAME APONGEZA UTENDAJI WA MAHAKAMA YA TANZANIA ASEMA NI NGUZO YA MAENDELEO

    February 02, 2026
  • RC MAKAME AONGOZA JUKWA LA WADAU WA KILIMO MKOANI SONGWE.

    November 19, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.