• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MRADI WA MAJI MWANSYANA KUBORESHA HUDUMA YA MAJI KWA MJI WA VWAWA NA MLOWO

Posted on: November 4th, 2024



Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Daniel Chongolo, amefanya Ziara katika Wilaya ya Mbozi Tarehe 04 Novemba 2024, kwa ajili ya kukagua maendeleo ya miradi ya maji. Ziara hii imelenga kuhakikisha miradi inayotekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira ya Vwawa-Mlowo inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa katika wilaya ya Mbozi, Mkoani Songwe.



Moja ya mradi Uliokaguliwa ni mradi wa ukarabati wa vyanzo vya maji vya Mwansyana unaotekelezwa na kampuni ya HAMWA Construction Co. Ltd. Mradi huu wenye thamani ya Shilingi Bilioni 1.776.


Mpaka sasa, mradi huo umekamilika kwa asilimia 88, huku asilimia 80 ya malipo yakiwa yameshatolewa. Kazi zilizotekelezwa ni pamoja na ununuzi wa mabomba yenye urefu wa mita 17,400, na kazi zilizo pangwa kufanyika ni ufungaji wa washouts na air valves, na ununuzi wa vifaa kama pikipiki na kompyuta. Mradi huu unatarajiwa kunufaisha wananchi wapatao 13,107 katika Wilaya ya Mbozi. ambapo kwa sasa Mradi unazalisha lita laki nne hadi laki sita za maji kwa siku. Kukamilika kwa mradi huu kutapelekea uwezo wa kuzalisha lita milioni 1.4 kwa siku.


Mhe. Chongolo amemsisitiza mkandarasi kumalizia kazi zilizosalia kwa haraka ili wananchi waweze kupata huduma za maji safi na salama kwa wakati. Pia, ametoa wito kwa mamlaka husika kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inasimamiwa kwa ukaribu ili kufikia malengo ya serikali ya kuwahudumia wananchi na Kumtua Mama Ndoo Kichwani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.