• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MSITEGEMEE TOFALI KWENYE KIWANDA CHENU TU TAFUTENI KWINGINE, RC MGUMBATUNDUMA:

Posted on: June 7th, 2022

MSITEGEMEE TOFALI KWENYE KIWANDA CHENU TU TAFUTENI KWINGINE, RC MGUMBATUNDUMA: 

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba ameitaka Halmashauri ya Mji wa Tunduma kutokutegemea tofali  kwenye kiwanda chao tu badala yake watafute tofali sehemu nyingine yeyote ili miradi ya ujenzi ikamilike haraka kabala ya kufika 30 Juni 2022.Mkuu wa Mkoa ametoa agizo ilo leo Juni 7 wakati wa ziara ya ukaguzi wa mradi wa madarasa kumi (10) ya gorofa katika shule ya msingi Haisoja na kukuta mradi umekwama kwa madai ya kusubiria tofali kutoka kwenye kiwanda cha Tunduma.“Kama kiwanda cha Tunduma kimeishiwa tofali katafuteni sehemu nyingine kwani kiwanda cha Tunduma nacho kinafanya biashara kama wafanyabiashara wengine ni marufuku kusubiria tofali wakati mradi umekwama wakati tofali sehemu nyingine zipo” Mhe. Omary Mgumba.Wafanyabiashra wote ni wa Serikali ndio maana Mhe. Samia Suluh Hassan amefungua uchumi wa nchi kila mtu mwenye vigezo anaweza kufanya kazi na Serikali, hivyo awe mtu binafsi au Serikali kama ana vigezo lazima afanye kazi na Serikali amesema Mhe. Omary Mgumba.Aidha, Mkuu wa Mkoa amesema tofali inaponunuliwa sehemu yeyote ile lazima ipimwe kabla ya kutumia kama ina ubora hii haijarishi unachukua tofali kwenye kiwanda cha Serikali au cha binfasi lazima zipimwe kwa kuzingatia ubora wake.Wakati huo huo, Mkuu wa Mkoa amekataa mkataba mpya aliongozewa mkandarasi na Halmashauri wa miezi mitatu (3) ambao ulimtaka akamilishe ujenzi Septemba 2022 badala yake Mkuu wa Mkoa amemtaka mkandarasi akamilishe ujenzi ifikapo Juni 30 kama ilivyo maelezo ya Serikali na kumtaka mkandarasi afanye kazi usiku na mchana kwa kufunga taa eneo la mradi.Halmashauri ya Mji wa Tunduma imejenga madarasa kumi (10) ya gorofa katika Shule ya msingi Haisoja kwa thamani ya shilini Milioni 450 madarsa ambayo yanakwenda kutatua changamoto ya msongamano wa wanafunzi madarasni kwa shule za mji wa Tunduma.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.