• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MWANAFUNZI APATA TZS 103,000 KISHUJAA ALIPOJITOKEZA KWA MGENI RASMI.SONGWE:

Posted on: June 16th, 2022

MWANAFUNZI APATA TZS 103,000 KISHUJAA ALIPOJITOKEZA KWA MGENI RASMI.SONGWE:

Mwanafunzi wa darasa la tatu Shule ya Msingi Lulu, Nikodem Ndimbwa amepata fedha kiasi cha 103,000 baada ya kujitokeza kwa mgeni rasmi apate zawadi ya vifaa vya shule wakati sio miongoni mwa wanafunzi ambao walikuwa kwenye orodha ya kupata zawadi.

Mwanafunzi huyo aliibuka kwa mgeni rasmi wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika ambayo kwa ngazi ya Mkoa yamefanyika viwanja wa CCM-Mbozi, 16 Juni 2022.Ameibukia kwa mgeni rasmi akiwa hana sare za Shule uku akionekana ni mtu mwenye uhitaji wa vifaa vya Shule ambavyo aliona wenzake wakipata kutoka kwa muwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Songwe, ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Momba, Mhe. Faki Lulandala.

Mwenyekiti wa Halmahera ya Wilaya ya Ileje, Mhe. Ubatizo Songa alivyomuona mwanafunzi uyo alilazimika kumuomba mgeni rasmi kufanya jambo juu ya mtoto huyo.

"Mhe. Mgeni rasmi nimeguswa na mtoto huyu tunaomba tufanye jambo na mimi naanza na shilingi 10,000 ameonekana ni mwenye mahitaji" Mhe. Ubatizo Songa.

Mgeni rasmi wa maadhimisho ya siku ya Mtoto Afrika, Mhe. Faki Lulandala akaruhusu jambo ilo lifanyike kwa wageni waliohudhuria na likiratibiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje aliyeleta hoja.

Kisha, Mkuu wa Wilaya ya Momba, Mhe. Faki Lulandala akamkabidhi Mwalimu anakosoma mwanafunzi huyu kiasi cha fedha shilingi 103,000 na kumuagiza ahakikishe mtoto anapata mahitaji muhimu ya shuleni kwanza.

Pia, Mhe. Lulandala amemuagiza Mwalimu huyo kufika hadi Nyumbani kwa mwanafunzi kuangalia mazingira ya Nyumbani kwao na kama kuna mahaitaji mengine zaidi basi ayawasilishe Serikalini kupitia kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbozi kwa ajili ya hatua zaidi ya kumsaidia mwanafunzi huyo.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.