• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MWENYE KITAMBULISHO ASISUMBULIWE-MWANGELA

Posted on: February 7th, 2019

   Wavuvi na wachimba madini wadogowadogo wamepewa muda wa siku nane kuchukua vitambulisho vitakavyo wawezesha kutambulika rasmi kama wajasiriamali wadogo wadogo ili waweze kufanya shughuli halali za uzalishaji mali bila kusumbuliwa.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. (Mst) Nicodemus Mwangela ametoa maelekezo hayo mapema wiki hii akiwa ziarani Wilayani Songwe ambapo ametembelea kambi ya wachimbaji wadogo wa madini katika Kijiji cha Saza na wajasiriamali wa uvuvi katika kambi ya sabasaba pembezoni mwa mto Rukwa.

Brig. Jen. (Mst) Mwangela amesema, “mjasiriamali mdogomdogo unayefanya shughuli yeyote halali inayokuingizia kipato na hulipi kodi TRA serikali inataka kukutambua hivyo basi unatakiwa kuchukua kitambulisho ili usisumbuliwe”.

Aidha amezitaka halmashauri za Mkoa wa Songwe kuhakikisha zinasimamia vizuri ugawaji wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ili kuepuka udanganyifu na kuhakikisha kila mjasirimali anatambulika kwa kupata kitamblisho hicho.

Naye Afisa Kodi Kutoka Mamlaka ya Mapato nchini TRA Omary Iddi amesema wajasiriamali wadogowadogo ambao kipato chao kwa siku wanapata chini ya shilingi milioni nne kwa mwaka wanapaswa kuchukua kiambulisho cha Ujasiriamali ili nao waweze kuchang pato la taifa.

Wajasiriamali wadogo wanaoishi kwenye kambi ya uvuvi ya Sabasaba, Wachimbaji wadogo wa madini wa Saza na wajasiriamali wegine Wilayani Songwe wamezipongeza juhudi za serikali za kuweka mazingira mazuri ya ulipaji kodi kwa manufaa ya maendeleo ya Taifa.

Simkonda Maiko amesema anaipongeza serikali kwa kuwatambua wajasiriamali wadogo wadogo na hivyo kuwawekea utaratibu mzuri wa kuchangia mapato pia itawasaidia kutosumbuliwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.