• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NGUVU IMEONGEZWA KWA WAHAMIAJI HARAMU DHIDI YA TISHIO LA EBOLA, RC KINDAMBA.

Posted on: October 8th, 2022

NGUVU IMEONGEZWA KWA WAHAMIAJI HARAMU DHIDI YA TISHIO LA EBOLA, RC KINDAMBA.

 

TUNDUMA: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amesema vyombo vya ulinzi vimejipanga kuhakikisha mipaka ya Nchi inakuwa imara na salama na wanadhibiti wahamiaji haramu wanao tumia njia zisizo halali kuvuka katika mipaka yote wa Tunduma kwa Nchi ya Zambia na Isongole kwa Nchi ya Malawi.

Mhe. Kindamba amesema hayo, Oktoba 7 akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wakati wa ukaguzi eneo linalotumika kwa wasafiri wanaoingia na kutoka Nchini katika mpaka wa Tunduma alipofika kuona jinsi mipango ya Serikali inavyotekelzwa kuhakikisha Kila mgeni anapimwa dhidi ya tishio la ugonjwa wa Ebola ambao umeripotiwa nchini Uganda.

Nami nimejiridhisha jinsi watalamu wa Afya wa Songwe walivyojiandaa katika kupambana na tishio la Ebola kuhakikisha Kila msafiri anachunguzwa na kama kwa bahati mbaya akipatikana wamejipanga vizuri kuhakikisha wanamuhudumia ili asiweze kuambukiza wengine, amesema, Mhe. Waziri Kindamba Mkuu wa Mkoa wa Songwe.

Afisa afya wa Mpakani Tunduma, Bi. Lulu Daudi Ngimba amesema wanapima wasafiri wote wanaovuka mpakani na wakimkutata mwenye dalili za Ebola anafanyiwa vipimo zaidi jujiridhisha.

Tuna weka umakini zaidi kwa wasafiri wanaotoka katika nchi zilizo athirika na Ebola, ili kuweka hali ya usalama kwa wananchi wa Mkoa wa Songwe na Taifa kwa ujumla, amesema, Bi. Lulu Ngimba.

Wakati huo huo, Mhe. Waziri Kindamba amewataka watanzania kuendelea kumuombea Afya njema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluh Hassan ili aweze kutekeleza majukumu ya kuleta maendeleo kwa Taifa.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.