• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NIMEKUJA KUBORESHA MAZURI YOTE, RC MICHAEL.

Posted on: March 3rd, 2023

NIMEKUJA KUBORESHA MAZURI YOTE, RC MICHAEL.


SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis Michael amesema amekuja kuboresha yale yote mazuri ambayo yamefanyika na watangulizi wake.


Mhe. Dkt. Francis Michael amesema hayo leo Machi 3 wakati akiongea na watumishi wa Ofisi ya Mkoa kwa lengo la kufamiana na kuweka mikakati ya kazi ili kufikia lengo la Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuwaletea maendeleo wananchi wa Songwe.


Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt. Francis Michael amesema mikakati yote iliyowekwa ya maendeleo kwa wananchi wa Songwe itaendelezwa kwa kushirikiana na watumishi pamoja na wananchi.


"Katibu Tawala wa Mkoa ondoa hofu sitabadilisha jambo zuri ambalo mmelifanya nitajifunza mengi kutoka kwenu naomba ushirikiano wenu tutaboresha mikakati yote iliyofanyika na mtangulizi wangu" Mhe. Dkt. Francis Michael.


Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amesema watumishi wote wa Songwe wako tayari kutoa ushirikiano na kutekeleza maelekezo yote yatakayotolewa na Mkuu wa Mkoa.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, Mhe. Methew Chikoti akiongea kwa niaba ya Madiwani wa Mkoa wa Songwe amempongeza Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt. Francis Michael kwa kuaminiwa na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuiongoza Songwe na kuhaidi kutoa ushirikiano wa kutosha.


Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Mhe. Solomon Itunda amesema watahakikisha wanaboresha ushirikiano na kuimarisha ili waweze kuleta maendeleo kwa wananchi.


Wakati huo huo, Mhe. Dkt. Francis Michael amemshukuru Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumteua kuja kufanya kazi Songwe.


MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.