• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA WAKUTANA NA KUZINDUA KITUO CHA TUNDUMA-NAKONDE ONE-STOP BORDER POST

Posted on: October 5th, 2019

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu wamekutana leo na kuzindua kituo cha huduma za pamoja cha Tunduma-Nakonde.

Uzinduzi wa kituo hicho umefanyika katika eneo la Tunduma kwa upande wa Tanzania na kisha Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu waliekea kuzindua kituo hicho eneo la Nakonde upande wa Zambia.

Rais Dkt John Pombe Magufuli ameipongeza wizara ya Fedha kwa uamuzi wa kujenga kituo hicho kwakuwa Kituo hicho kitarahisisha shughuli za biashara huku akiwaasa maafisa wa forodha kusimamia weledi katika kuhudumia kituo hicho.

Aidha Rais Dkt John Pombe Magufuli amewataka wananchi na watumiaji wa kituo hicho kukitunza na kuwa mstari wa mbele kuwafichua watu wenye nia ovu ya kutaka kuhujumu miundombinu ya kituo hicho.

Naye Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu amesema kituo cha Huduma za Pamoja cha Nankonde-Tunduma hupitisha zaidi ya mizigo 600 kwa siku na hivyo kurahisisha biashara kutoka Dar es Salaam hadi katika ushoroba wa kanda ya kusini mwa Afrika.

Rais Edgar Lungu amesema baada ya kuboreshwa kwa kituo hicho upitishaji wa mizigo umerahisishwa na kupunguza muda ambao watu walikua wanakaa mpakani kutoka siku 4 za awali hadi kufikia siku moja.

Rais Edgar Lungu amezishukuru serikali zote mbili kwa kuchukua hatua hiyo ambayo itawasaidia wafanyabiashara hususani wafanyabiashara wadogo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.