• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAS SENEDA AWATAKA MAAFISA AFYA KUJA NA MIKAKATI YA KUSIMAMIA TAKA NGUMU.

Posted on: June 1st, 2023

RAS SENEDA AWATAKA MAAFISA AFYA KUJA NA MIKAKATI YA KUSIMAMIA TAKA NGUMU.

 Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amewataka Maafisa Afya kuja na mikakati ya kitaalamu jinsi ya kusimamia taka ngumu ambazo zimekuwa changamoto kubwa sehemu za mjini haswa mji wa Tunduma.

Katibu Tawala, Bi. Happiness Seneda ametoa wito huo kwenye kikao kazi kilichofanyika Juni 1 kilichowakutanisha Maafisa Afya wote wa Mkoa kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

"Tunachangamoto kubwa ya usimamizi wa taka ngumu kwenye miji yetu ya Tunduma, Vwawa na Mlowo, unakuta taka ngumu zimekusanywa hovyo hovyo hali inayoweza kupelekea mlipuko wa magonjwa sasa lazima Maafisa Afya tuchukue hatua za kitaalamu" amesema Bi. Happiness Seneda.

Katibu Tawala wa Mkoa, Bi. Happiness Seneda amewataka Maafisa Afya kuwashauri vizuri viongozi kuanzia ngazi ya Kata, Halmashauri na Mkoa jinsi kuzisimamia taka ngumu kwenye jamii ili isiwe kero kwa wananchi.

Bi. Happiness Seneda amesema Mkoa wa Songwe unakua kwa kasi sana, hivyo ni lazima Maafisa Afya mje na mikakati ya kitaalamu ya jinsi ya kuzisimamia taka ngumu kwenye miji yetu ya sasa na ambayo inachipukia.

MWISHO.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA PROGRAM JUMUISHI YA TAIFA YA MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO (PJT-MMMAM) MKOA WA SONGWE

    September 21, 2023
  • UZINDUZI WA CHANJO YA POLIO MKOA WA SONGWE 2023

    September 21, 2023
  • MKUTANO WA SITA (6) WA BARAZA LA BIASHARA 2023

    September 13, 2023
  • ZIARA YA SIKU TATU YA WAZIRI WA AFYA MHE. UMMY MWALIMU MKOA WA SONGWE

    September 11, 2023
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.