• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAS SENEDA, DED WA SONGWE WALAZIMIKA KUVUA VIATU KUVUKA MTO KISANDA KATIKA ZIARA YA UFUATILIAJI MIRADI

Posted on: December 11th, 2023

Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amelazimika kuvua viatu na kukanyaga maji akivuka mto Kisanda ili kufika kwenye mradi wa ujenzi wa madarasa na nyumba ya walimu katika Shule ya Msingi Rukwa iliyopo Kata ya Udinde Wilayani Songwe baada ya magari kushindwa kupita.


RAS Seneda ambaye aliambatana na sekretarieti ya mkoa, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe, CPA. Cecilia Kavishe na wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri ya Wikaya ya Songwe  wamevuka katika mto huo leo Jumatatu Disemba 11, 2023 wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika Tarafa ya Kwimba Wilaya ya Songwe.


Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe ambaye anaongoza sekretarieti ya mkoa yupo Wilayani Songwe  kwa ajili ya ziara ya siku tatu ya kufuatilia miradi ya maendeleo katika kata 18 na kuzungumza na watumishi wa Wilaya hiyo.


Katika ziara hiyo, Sekretarieti hiyo imekagua miradi mbalimbali ikiwemo ya elimu, miundombinu ya barabara pamoja na afya katika Tarafa ya Kwimba ambapo amewapongeza viongozi wa Halmashauri hiyo kwa utekelezaji wa miradi pamoja na kuwashauri namna nzuri ya kuweza kufanikisha miradi kwa wakati.


Baada ya ukaguzi wa miradi hiyo, Katibu Tawala huyo alikutana na kuzungumza na watumishi wa Tarafa ya Kwimba ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero zao

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.