• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

Posted on: June 10th, 2025

RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZOBAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI 


Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Daniel Chongolo, ameongoza kikao cha Baraza la Madiwani cha kujadili hoja zilizobainishwa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi leo tarehe 10 Juni 2025.


Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Kamati za Ulinzi na Usalama za Mkoa na Halmashauri, wataalamu wa halmashauri pamoja na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi.


Katika kikao hicho, Mhe. Chongolo amewapongeza madiwani wa Halmashauri ya Mbozi kwa kazi kubwa wanayoifanya katika kusukuma maendeleo ya wananchi. Akiwaeleza washiriki wa kikao, Mhe. Chongolo alisema:


“Mambo mengi tuliyoyajadili mwaka jana yamepungua, hoja nyingi zimepungua. Hii ndiyo kazi ambayo wataalamu tunatakiwa kuifanya. Mimi niwapongeze sana.”


Aidha, aliongeza kwa kueleza kuwa Mkoa wa Songwe umeendelea kuwa miongoni mwa mikoa iliyopata fursa ya kupokea bajeti ya maendeleo kwa asilimia mia moja kwa kipindi cha miaka minne mfululizo, na tena kwa wakati.


“Mkoa wetu umepata bahati kwa kipindi hiki chote cha miaka minne umekuwa ukiletewa bajeti ya maendeleo kwa asilimia mia moja, na kwa mapema sana. Hii bajeti ya maendeleo ndiyo inayo tafsiri dhamira ya Serikali chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuboresha huduma kwa wananchi wetu,” alisisitiza Mhe. Chongolo.


Kikao hicho ni sehemu na juhudi za serikali kuhakikisha uwajibikaji, ufanisi na utekelezaji wa majukumu ya halmashauri unafanyika kwa weledi na kwa manufaa ya wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.