• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC KINDAMBA AWAAGIZA MA DC KUTOA ELIMU YA LISHE.

Posted on: October 5th, 2022

RC KINDAMBA AWAAGIZA MA DC KUTOA ELIMU YA LISHE.

Na. Nicholas Ndabila

SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amewataka wakuu wa Wilaya kwenda kutoa elimu ya lishe kwa wananchi.

Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo hayo wakati akiwasainisha mikataba ya lishe wakuu wa Wilaya leo Oktoba 5 wakati wa kikao cha tathimini wa afua mbalimbali za Afya kwa Mkoa wa Songwe.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amesema si jambo zuri kwa Mkoa wenye fursa za Kilimo kutajwa kuwa na idadi kubwa ya udumavu wa watoto.

Mkuu wa Mkoa amewataka wakuu wa Wilaya kufanya mabadiliko kupitia mikata waliosainiwa, mnatakiwa mkapambane kuhakikisha mnatoa elimu na kueleza jamii namna bora ya kutumia lishe iliyo na mchanganyiko wa virutubisho vyote vinavyo hitajika na mwilini.

Mhe. Waziri Kindamba amesema Watu wengi tunakula chakula kwa sababu tumbo linahitaji lakini hatuzingatii mchanganyiko bora wa vyakula vyenye viini lishe na virutubisho vyote, kwa kufanya hivi hatuwezi kuwa na Afya bora kama tutaendelea kula kwa mazoea.

"Unamkuta mtoto mdogo ana kitambi kuliko mtu aliye ajiriwa katika kampuni au taasisi ukimuuliza unafanya kazi katika kampuni gani anashindwa kujibu kwanini kwa sababu hatujazingatia lishe na mpangilio mzuri wa chakula cha kuwapa watoto wetu " Mhe. Waziri Kindamba.

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda amesema bado Mkoa haufanyi vizuri kwenye maswala ya lishe, inahitajika jitihada kubwa ili kuliondoa janga la udumavu wa akili kwa watoto pamoja na magonjwa yanayosababishwa na ukosefu wa lishe.

Elimu itolowe kwa wananchi na familia ili kuhakikisha wanapata chakula kilicho na mchanganyiko wa makundi yote matano, amesema, Bi. Happiness Seneda.

Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wamesema wanapenda kuona Songwe unabaki kuwa Mkoa wa mwisho kwa kuundwa lakini si katika jambo lingine lolote lile la kimaendeleo, wamewaagiza wakuu wa Wilaya kuchukua dhana hiyo kwa kufuatili jambo la lishe kwa ukaribu zaidi ili Mkoa uondokane na adha ya magonjwa ya lishe.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.