• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC KINDAMBA NA KAMPENI YA PANDA MTI, ZUIA KUKATA MTI.

Posted on: November 17th, 2022

 RC KINDAMBA NA KAMPENI YA PANDA MTI, ZUIA KUKATA MTI.

SONGWE: Serikali ya Mkoa wa Songwe inampango wa kuanzisha kampeni maalumu ya kupanda miti na kuzuia kukata miti ili kunusuru uharibifu wa mazingira unaoendelea hapa Mkoani.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amesema hayo wakati wa kikao kazi cha viongozi wafanya maamuzi (uragabishi) kilichofanyika Oktoba 17 na kuhudhuriwa wajumbe wa Kamati ya ulinzi na usalama Mkoa na watalamu ngazi Mkoa.

Mhe. Waziri Kindamba amesema atakutana wawikilishi wa wananchi ngazi ya Kata waheshimiwa Madiwani wote pamoja na viongozi wa Chama cha Mapinduzi, wadau wengine kuona namna ya kufanikisha kampeni ya upandaji miti na kuzuia kukata miti ili kutunza Mazingira ya Mkoa.

Baada ya kukaa na makundi hayo, nategemea kuona kila kaya inapanda miti, kuona miti inapandwa kwenye maeneo yetu mbalimbali, amesema, Mhe. Waziri Kindamba.

"Ukipita katika milima mingi na misitu yetu ya Songwe utaona jinsi miti ilivyokatwa na kuacha vipara tu, unakutana na mtu amejenga Nyumba nzuri lakini hakuna mti hata mmoja uliopandwa hali hii inaweza kupelekea upungufu wa mvua na mafuriko kwa kukosekana kwa miti" Mhe. Waziri Kindamba.

Pia, Mkuu wa Mkoa, Mhe. Waziri Kindamba amesema kumekuwepo na matukio mengi ya Nyumba za watu kuezuriwa na upepo au mafuriko kwa baadhi ya maeneo katika kipindi hiki ambacho tunaenda kwenye msimu wa Mvua kutokana na ukosefu wa miti katika kaya na sehemu za misitu yetu kwa sababu ya uharibifu wa mazingira unaoendelea kwa sasa.

Sisi viongozi pamoja na watalamu kwa maeneo tunayoishi lazima tutoe elimu kwa wananchi wetu juu ya umuhimu wa kutunza mazingira, amesema Mhe. Kindamba.

Wakati huohuo, Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa wananchi kujenga vyoo bora na kuvitumia kwa usahihi ili kujiepushe na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu ambacho kinaweza kutokea.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.