• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MGUMBA ASHIRIKI IBADA YA KUMUWEKA WAKFU ASKOFU MWAKIHABA.TUKUYU

Posted on: June 5th, 2022

RC MGUMBA ASHIRIKI IBADA YA KUMUWEKA WAKFU ASKOFU MWAKIHABA.TUKUYU: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba ameshiriki ibada ya kumuweka wakfu na kumsimika Askofu wa awamu ya tano Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, Askofu Geoffrey Samwel Mwakihaba pamoja na msaidizi wake Mch. Dkt. Meshack Edward Njinga katika ibada iliyofanyika Usharika wa Tukuyu, 5 Juni 2022.Ibada imeongozwa na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la KKKT Tanzania, Askofu Dkt. Fredrick Shoo na mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Juma Homera aliyemuwakilisha Mhe. Samia Suluh Hasani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS DKT HAWASSI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU

    February 13, 2026
  • SIKU 100 ZA TABASAMU SONGWE RC MAKAME AZINDUA MFUMO WA KIDIJITALI “SONGWE SERIKALI KIGANJANI”.

    February 07, 2026
  • RC MAKAME APONGEZA UTENDAJI WA MAHAKAMA YA TANZANIA ASEMA NI NGUZO YA MAENDELEO

    February 02, 2026
  • RC MAKAME AONGOZA JUKWA LA WADAU WA KILIMO MKOANI SONGWE.

    November 19, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.