• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MGUMBA AVUNJA KAMATI ZA UJENZI KITUO CHA AFYA MPANDE WATALAMU WASIMAMISHWATUNDUMA:

Posted on: June 8th, 2022

RC MGUMBA AVUNJA KAMATI ZA UJENZI KITUO CHA AFYA MPANDE WATALAMU WASIMAMISHWATUNDUMA:

 Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba amezivunjwa kamati zote za ujenzi wa kituo cha Afya mpande pamoja na watalamu wanaosimamia ujenzi huo, kamati zilizovunjwa ni Kamati ya ujenzi, mapokezi na manunuzi.Mkuu wa Mkoa amechukua hatua hiyo leo Juni 8 wakati wa ziara ya ukaguzi wa mradi katika kituo cha Afya Mpande ambacho Serikali imeleta fedha shilingi milioni 300 na ujenzi ukiwa ndio uko hatua ya awali na kukuta bei za vifaa walizoweka ni kubwa kuliko bei ya soko.Diwani wa Kata ya Mpande, Mhe. Salum Kiambi amesema walikubaliana na wana kamati kwamba vitu ambavyo vitaletwa kwa bei ya juu visichukuliwe na ndio maana walipooana ndoo ndogo inanuliwa kwa bei ya 13,000 badala ya 5,5000, mipira ya 250,00 wameandika 280,000, sururu ya 8,000 wamenunua kwa 13,000 zinanuliwa kwa bei ya juu na nilipoenda  ofisi ya manunuzi waliniambia wameisha andaa kotesheni tayari.Mtendaji wa Kata namsimamisha kwa sababu amenisomeaa taarifa ya uongo ambayo haina ukweli, hivyo mtendaji wa Kata pamoja na watalamu walioshirikiana  kuandaa taarifa na kuratibu ujenzi wa kituo cha Afya Mpande wote wakae pembeni kupisha uchunguzi tukiwaacha hawa Kituo cha Afya hakitaisha kabisa amesema Mhe. Omary Mgumba.Mtendaji wa Kata, Enock Mabina anasema yeye aliandaa taarifa yake lakini Ofisi ya mipango wakamletea taarifa ambayo wameandaa ili aweze kuisoma na kudai taarifa yak wake ina utofauti na iliyotoka ofisi ya mipango.Mkuu wa Mkoa ametoa siku 7 kwa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Mji Tunduma kuunda kamati ambazo zinatokana na wananchi halisi na sio kamati za ujanja ujanja, kamati zijimuishe wananchi wa Kata zote.Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa watendaji wote ndani ya Mkoa wanapopata maelekezo aa maagizo kutoka kwa viongozi wao ni vyema wapate maagizo yakiwa katika maandishi ili badae wasijekurukwa na wakabaki wao tu.MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.