• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MGUMBA AZIJULIA HALI FAMILIA ZIZOPOTEZA NDUGU KWA MAPOROMOKO YA UDONGO.ILEJE

Posted on: May 2nd, 2022


RC MGUMBA AZIJULIA HALI FAMILIA ZIZOPOTEZA NDUGU KWA MAPOROMOKO YA UDONGO.ILEJE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba amefika Kata ya Sange na Ngulugulu kutoa pole kwa familia mbili (2) ambazo zimepoteza ndugu zao watano (5) kutokana na maporomoko ya udongo kuangukia Nyumba zao baada ya mvua kubwa kunyesha mfulilizo.Mnamo usiku wa kuamkia 29 Aprili 2022 wananchi wapatao watano (5) kutoka Kata ya Sange na Ngulugulu walipoteza maisha wakiwa wamelala kwenye Nyumba zao na kuangukiwa na maporomoko ya udongo."Kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluh Hassan na Serikali yake tunatoa pole kwa familia zote na jambo la muhimu tunaendelea kumuomba Mungu awape subra na uvumilivu katika wakati mgumu huu muliokuwa nao" Mhe. Omary Mgumba.Aidha, Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa wananchi wa Ileje ambao wanaishi sehemu za muiniko kuchukua tahadhari katika kipindi ambacho mvua zinazoendelea kunyesha.Thobias Amenye Shibanda baba aliyepoteza watoto 2 na mjukuu mmoja amemshukuru Mkuu wa Mkoa na timu yake kwa kuja kumfraji baada ya msiba mzito uliomtokea.Zawadi Kabuje mwananchi wa kijiji cha Sange ameishukuru Serikali kwa kuwa karibu na familia zilizopata maafa.Waliofariki kutoka Kata ya Ngulugulu ni Eliudi Kajange (26) na mdogo wake Faraja Kajange(18) wa Kijiji Cha Kisuga na kutoka Kata ya Sange ni waliofariki  ni  mjamzito Rozalia Kijalo (22) Lazaro Shibanda (22) na mtoto anayeitwa Ayubu Shibanda (4).Wenyeji wa eneo ilo wanadai maporomoko ya udongo ya aina hii yaliwai kutokea mwaka 1984 eneo la lusalala na Ngulugulu na kusabisha vifo vya watu 3.Serikali inaendelea na zoezi la kufungua Barabara ambazo zimezibwa na maporomoko ya udongo ili ziweze kupitika kama awali.MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI DATA CLEARK, CLINICIAN NA NURSE October 01, 2021
  • FURSA ZA AJIRA KWA MKOA WA SONGWE September 02, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UMASIKINI WATAJWA CHANZO CHA UKATILI KWENYE FAMILIA.

    May 15, 2022
  • RC MGUMBA AZIJULIA HALI FAMILIA ZIZOPOTEZA NDUGU KWA MAPOROMOKO YA UDONGO.ILEJE

    May 02, 2022
  • OPARESHENI MAALUMU VITA DHIDI YA MAGENDO YAKAMATA MAGARI 14

    May 06, 2022
  • DKT. KASULULU AZITAKA CHMT ZIFANYE KAZI KWA KUFUATA MIONGOZO, SERA NA SHERIA ZA AFYA.MBOZI:

    May 07, 2022
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Boma Road, Vwawa, Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.