• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MICHAEL AMTAKA DED ILEJE KUCHUKUA HATUA KALI KWA WANAOKWAMISHA MIRADI.

Posted on: June 15th, 2023

RC MICHAEL AMTAKA DED ILEJE KUCHUKUA HATUA KALI KWA WANAOKWAMISHA MIRADI.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Fransis Michael amemtaka Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Ileje kuwachukulia hatua watumishi watakaobainika wanamkwamisha katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo hayo kwa Mkurugenzi wa Ileje, Bi. Nuru Kindamba wakati wa Baraza la kujadili Hoja za Mdhibiti na na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) lililofanyika Juni 15 wilayani Ileje.

Mhe. Dkt. Francis Michael amemwambia Mkurugenzi wa Ileje kuwa mtumishi atakayemkwaza au kumyumbisha asifike malengo awasilishe majina ofisini kwake kwa hatua zaidi za kisheria.

"Tukibaini mtumishi anafanya kwa uzembe tutamchukulia hatua na kama liko ndani ya uwezo wa mtumishi basi tutamuwezesha" Mhe. Dkt. Francis Michael.

Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt. Francis Michael amesema Halmashauri ya Ileje ina shida kwenye ukamilishaji wa miradi ya maendeleo licha ya juhudi kubwa anazofanya Mkuu wa Wilaya, hivyo amemtaka Mkurugenzi wa Ileje kusimamia kwa nguvu zote miradi ya maendeleo.

Pia, Mkuu wa Mkoa amelitaka Baraza la Madiwani la Ileje kuchukua hatua kwa watumishi wazembe bila kuwaonea.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe, Ndg. Radwell Mwmpashi amesema baadhi ya watumishi hawawajibiki kutekeleza majukumu yao na kuitaka Serikali kuchukua hatua dhidi yao.

Mwenyekiti wa halmashauri ya Ileje, Mhe. Ubatizo Songa amesema Baraza lake liko tayari kuyasimamia maelekezo yoye pamoja na kuwawajibisha watumishi wazembe ili miradi iende kwa kasi kama lengo la serikali linavyohitaji kupunguza adha Kwa wananchi.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.