• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MWANGELA: ATOA SIKU 7 KWA TAASISI KUWASILISHA MPANGO KAZI WA UTEKELEZAJI WA ILANI

Posted on: November 19th, 2020

 

RC MWANGELA:  ATOA SIKU 7 KWA TAASISI KUWASILISHA MPANGO KAZI WA UTEKELEZAJI WA ILANI

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Brg. Jen. Nicodemus Mwangela ametoa siku saba kwa Taasisi zilizopo Songwe na wakuu wa Idara kuja na mpango kazi wa namna ya kuanza kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya 2020-2025 pamoja na Hotuba ya Rais aliyotoa wakati wa kufungua Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Viongozi wa Taasisi waliokutana hii leo na Mkuu wa Mkoa baadhi yao ni TANESCO, RUWASA,TARURA, TANROAD, TRA, CAG, TBA, NFRA, PSPF, TEMESA, NMB, TACRI pamoja na Makatibu Tawala wasaidizi kutoka Songwe

Mkuu wa Mkoa ameagiza kila ofisi ya Umma kuwa na Ilani ya CCM 2020-2025 na Hotuba ya Rais aliyotoa wakati wa kufungua Bunge la 12 pia amewakabidhi wakuu wa Taasisi za Songwe Ilani ya CCM na Hotuba ya Rais aliyotoa wakati wa kufungua Bunge la 12 ili waanze utekelezaji katika Taasisi zao.

“Nahitaji Mpango kazi wa kila Taasisi unaokwenda sambamba na Ilani ya CCM 2020-2025 na Hotuba ya Rais katika kutatua kero za Wananchi wa Songwe” Mhe. Brg. Jen. Nicodemus Mwangela

 Aidha Mkuu wa Mkoa amesema ahadi zilizotolewa na Serikali kwa wananchi, Taasisi hizo ndio zinatakiwa kuzitekeleza ikiwa ni pamoja na usimamizi wa miradi ya maendeleo iliyo kwenye utekelezaji na ile itakayoanza.

Na kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Dr. Self Shekalaghe akiongea kwa niaba ya wakuu wa Taasisi amesema kila Taasisi itapewa kero za wananchi zilizopo na zitakazo ibuka ili zitatuliwe, na kero hizo zitawasilishwa kwenye kila kikao cha kila robo ya mwaka na kuziwasilisha kwa Mkuu wa Mkoa.

Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa ameagiza kamati ya usalama Mkoa kuzifuatilia kwa karibu  ofisi za  TANESCO na RUWASA Mkoa wa Songwe kutokana na kero ya kukatika kwa Umeme mara kwa mara bila sababu za msingi pamoja na kero ya maji kwenye miradi iliyokamilika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.