• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC SONGWE ATOA SIKU 30 UKARABATI WA SHULE ILIYOFUNGWA

Posted on: November 13th, 2018

  Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus E. Mwangela ametoa siku 30 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kukarabati vyumba viwili vya madarasa katika shule ya Msingi Kininga ambayo ilifungwa kutokana na ubovu wa miundombinu na hivyo kupelekea wanafunzi zaidi ya 200 kukosa masomo.

Brig. Jen. Mwangela ametoa agizo hilo mara baada ya kutembelea shule hiyo na kushuhudia ubovu wa majengo ya madarasa ambapo wakaguzi waliifunga baada ya kuona kuwa ingehatarisha maisha ya wanafunzi.

“Natoa mwezi mmoja kwa halmashauri ya Songwe kujenga vyumba viwili vya madarasa na nitahakikisha ofisi yangu inasimamia na kuchangia ukarabati wa chumba kimoja cha darasa ili wanafunzi wa kijiji hiki cha Mteka wasikose haki yao ya kupata elimu”, amesisitiza.

Ameongeza kuwa baadhi ya madarasa yaliyojengwa awali kwa nguvu za wananchi hayakusimamiwa na wataalamu wa halmashauri na hivyo kupeleka kujengwa chini ya viwango na hivyo basi wana jukumu la kusimamia ujenzi aliouagiza uwe wa viwango.

Kwa upande wao wananchi wa kijiji cha Mteka wamesema tatizo la ubovu wa vyumba vya madarasa haliwahusu wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kininga na hivyo ni jukumu la serikali ya kijiji na wadau wengine wa elimu kulitafutia ufumbuzi mapema ili wanafunzi hao wapate haki yao.

Wamesema michakato ya ujenzi wa majengo ya umma ifanyike kwa utaratibu mzuri ili wakandarasi wenye sifa wapatikane na hivyo kujengwa kwa ubora.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.