• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RUSHWA MARUFUKU KATIKA LIGI YA MKOA

Posted on: October 29th, 2018

  Vitendo vya rushwa na upendeleo vimepigwa marufuku katika ligi ya mpira wa miguu inayo endelea ambapo jumla ya timu ishirini za Mkoa wa Songwe zinashiriki kutafuta mshindi atakayewakilisha mkoa katika ligi ya mabingwa wa mikoa.

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila ambaye pia ni mwenyekiti wa Baraza la Michezo Mkoa amepiga marufuku hiyo jana jioni wakati akizindua rasmi ligi hiyo katika uwanja wa Michezo wa CCM Vwawa.

“Sitapenda kusikia Vitendo vya rushwa vimefanyika katika ligi hii ili kuipendelea timu fulani, tunataka kuona timu itakayowakilisha mkoa ikishinda kwa haki, ma refa mjiepushe na kupokea rushwa na kupendelea timu fulani, ushabiki hautakiwi ligi iendeshwe kwa mujibu wa taratibu na kanuni”, amesisitiza Kafulila.

Ameongeza kwa kuwataka wachezaji wote kujituma, kufanya mazoezi, kujiepusha na vitendo vya ngono pamoja na kuzingatia nidhamu kwa viongozi na waamuzi wa katika ligi hilo.

Aidha Kafulila amesema yeye anapenda maendeleo ya michezo hususani mpira wa miguu hivyo ameanzisha mfuko wa kuendeleza michezo wa mkoa ambao uta zisaidia timu mbalimbali pindi zinapokuwa na uhitaji.

Pia ameahidi zawadi kiasi cha shilingi milioni tatu na nusu kwa washindi watatu wa kwanza katika ligi hiyo ambapo mshindi wa kwanza atapatiwa shilingi milioni mbili, mshindi wa pili milioni moja na mshindi wa tatu atapatiwa shilingi laki tano.

Uzinduzi wa ligi ya Mkoa umefanyika kwa mchezo wa mechi kati ya timu ya Vwawa small boys ya Mbozi na Mpira pesa sports club ya Tunduma ambapo timu ya  Mpira pesa iliibuka na ushindi wa goli moja bila.

                 

 MAELEZO Y

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.