• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YABORESHA MAKAZI YA ASKARI MAGEREZA, RC MGUMBA AZINDUA NYUMBA MOJA NA KUWAPA PONGEZI KWA USIMAMIZI.

Posted on: August 5th, 2021

SERIKALI YABORESHA MAKAZI YA ASKARI MAGEREZA, RC MGUMBA AZINDUA NYUMBA MOJA NA KUWAPA PONGEZI KWA USIMAMIZI.

SONGWE: Serikali imetoa Milioni 114 kujenga Nyumba 3 za Askari wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Songwe, ikiwa Milioni 38 imejenga Nyumba ya Mkuu wa Magerea Mkoa na Milioni 76 zimejenga Nyumba moja ya familia 2 kwa ajili ya Askari Magereza.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Omary Mgumba amezindua Nyumba moja ya Mkuu wa Magerea Mkoa iliyojengwa kwa miezi 3 hadi kukamilika na Jeshi la Magereza Songwe.

Mkuu wa Mkoa amelipongeza Jeshi la Magereza kwa kufanikiwa kutatua changamoto zinazowakabili wao wenyewe kwenye Makazi.

"Kitendo cha Jeshi la Magereza kuamua kujenga wenyewe Nyumba kimeweza kuokoa fedha zaidi ya Milioni 9.7 ni jambo la kizalemdo na kupongezwa" Omary Mgumba.

Mkuu wa Magereza Mkoa wa Songwe, Robert Jaka amesema kwa sasa Mkoa umejipanga kuanza kujenga Nyumba nyingine 2 kama iliyozinduliwa leo pamoja na kuanza kujenga laini ya Nyumba za Askari  kwa kutumia force akaunti na nguvu za Jeshi la Magereza  na muda wowote kuanzia sasa zoezi la kufyatua tofali kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Nyumba izo litaanza rasmi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.