• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YAFURAISHWA NA MAENDELEO YA KAMPUNI YA GDM KUJIENDESHA KITAASISI

Posted on: July 14th, 2022

SERIKALI YAFURAISHWA NA MAENDELEO YA KAMPUNI YA GDM KUJIENDESHA KITAASISI

SONGWE: Serikali ya Mkoa wa Songwe imefuraishwa na maendeleo ya kampuni ya GDM yanavyokwenda vizuri tangu walipompoteza mkurugenzi wao marehemu Grivas Mwangoka Julai 2021.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba amesema hayo alipofanya ziara Julai 14 ya kuangalia maendeleo ya kampuni ya GDM kwenye kiwanda cha kukoboa kahawa cha Mlowo pamoja na CPU ya kampuni iliyopo ndolezi.

“Kwa niaba ya Serikali nimeridhishwa na maendeleo ya kampuni ya GDM ya sasa nimepita nimekagua kuanzia kwenye CPU hadi hapa kiwandani kwa kweli kampuni iko vizuri nimekuta kahawa ipo kiwandani na ipo kwenye CPU hongereni sana GDM” Mhe. Omary Mgumba.  

Nimefanya ziara hapa GDM kwa lengo maalumu kama Serikali kujua Je GDM iko kama zamani vile alivyokuwepo marehemu Grivas Mwangoka au, kwani Serikali tulipata wasiwasi pale gwiji lilipoondoka ghafla tukawa tunajiuliza je kampuni itakwenda kweli kutokana na uzoefu wa makampuni mengi ya wazao mara nyingi hayaendelei pale mwenyewe anapokuwa amefariki amesema Mhe. Omary Mgumba.

Mkuu wa Mkoa amesema hii inaonyesha marehemu Grivas Mwangoka alishirikisha watu wake wa karibu na hii inatakiwa kuwa fundisho au elimu kwa wafanyabiashara na wawekezaji wazao wa kitanzania ni vizuri kujenga taasisi na sio kujijenga wewe mwenyewe, inatakiwa biashara zetu ziende kitaasisi tunawashukuru GDM kwa kujenga kampuni yenu kitaasisi na sasa inaenda mbele zaidi kuliko jana.

Kwa sasa Mkurugenzi wa Kampuni ya GDM ni Richard Grivas Mwangoka na kampuni imeajiri wafanyakazi zaidi ya 600 ambao wanafanya kazi za muda na za kudumu kwenye mashamba ya GDM pamoja na kiwandani.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.