• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YAKANUSHA MADAI YA WAFANYABIASHARA KUHAMIA ZAMBIA

Posted on: May 29th, 2018

  Serikali imekanusha madai ya kuwa wafanyabiashara waMkoa wa Songwe wamehamia Nchini jirani ya Zambia kutokana na utitiri wa kodizisizo rafiki ikiwa ni baada ya uchunguzi wa kina kufanyika kwa muda wa wikimbili.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa amesema, “nilitoamuda wa siku 14 kwa Mkuu wa Wilaya ya Momba ashirikiane na Mamlaka ya mapatoTanzania (TRA) kufanya uchunguzi wa madai hayo kwa kina na taarifa za awali zamatokeo ya uchunguzi huo zinaeleza kuwa hakuna wafanyabiashara waliohamiaZambia kwa kigezo cha utitiri wa kodi”.

Gallawa amefafanua hayo katika mkutano wa Chemba yabiashara, kilimo na uwekezaji (TCCIA) na kuongeza kuwa taarifa kamili yauchunguzi huo itatolewa hapo baadaye.

Ameongeza kuwa kumekuwa na ongezeko la mapato yamakusanyo ya ndani ya halmasahuri, makusanyo ya TRA na mapato ya forodha hivyotaarifa za wimbi kubwa la wafanyabiashara kuhamia nchini Zambia zinakinzana nauhalisia huo.

Wakati huohuo Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawaametumia fursa hiyo kuwataka wafanyabiashara kuwekeza kwenye eneo lakimondo cha Mbozi linalofanyiwa maboresho hivi sasa kwa ajili yamaadhimisho ya siku ya kimondo duniani yatakayofanyika Juni 30, mwaka huu.

Ameongeza kuwa maadhimisho hayo yanahitaja uwekezajiwa miradi mikubwa ikiwemo nyumba za kulala wageni, viwanja vya kisasa vyamichezo, kumbi za starehe, pamoja na fursa mbalimbali za uchumi ambapo mpakasasa halmashauri zote tano zimepewa eneo la ekari tatu kila moja karibu naKimondo.

Aidha mpango huo umeungwa mkono na wafanyabiasharamkoani Songwe ambao wamesema fursa hiyo itaongeza uchumi wao huku wakiombakuwekewa mazingira wezeshi kwa ajili ya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kupewamaeneo ambayo yamekwisha pimwa na kulipwa fidia.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.