• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SONGWE IKO SALAMA, TUENDELEE KUCHUKUA TAHADHARI YA EBOLA.

Posted on: October 5th, 2022

 SONGWE IKO SALAMA, TUENDELEE KUCHUKUA TAHADHARI YA EBOLA.

Na. Nicholas Ndabila.

SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Waziri Kindamba amesema mkoa uko salama dhidi ya ugonjwa wa Ebola lakini Serikali bado inaendeleea kutoa elimu dhidi ya Ugonjwa huo hatari wakati nao wananchi wakiendelea kuchukua hatua.

Mhe. Waziri Kindamba ameyasema hayo kwenye kikao kazi cha tahimini utoaji wa chanjo mbalimbali kwa binadamu, kilichofanyika 5 Oktoba 2022 Mkoani na kuhudhuriwa na viongozi ngazi ya Wilaya, Halmashauri pamoja na watalamu wao wa masuala ya Afya.

"Mpaka sasa hakuna Mtu aliyegundulika kuwa na ugonjwa wa Ebola au dalili zake bado iko haja kubwa ya kuendelea kuchukua tahadhari na kujikinga dhidi ya ugonjwa huo kwa kuzingatia maelekezo na miongozo kutoka kwa wataalamu" amesema, Waziri Kindamba.

Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuwa kutokuwa na Mgonjwa au mtu mwenye dalili za ugonjwa haina maana tuendelee kubweteka tunahitajika kuendelea kuchukua hatua zaidi za kujikinga kwa kuwa Songwe ni moja ya Mikoa inayo pakana na nchi jirani amabazo wasafiri wanaweza kusafiri mpaka mkoani kwetu na kuhatarisha Taifa letu.

Pia, Mkuu wa Mkoa, Mhe. Waziri Kindamba amewaagiza wakuu wa Wilaya kufuatilia kwa ukaribu zaidi wakishirikiana na wataalamu wao wa Afya, kuhakikisha Mkoa unaendelea kuwa salama kwa magonjwa yote ya mulipuko pamoja na ulinzi na usalama.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Boniface Kasululu amezitaja baadhi ya dalili za ugonjwa wa Ebola ikiwa ni pamoja na kupanda kwa joto la mwili kupita kawaida na kutokwa na damu sehemu za wazi.

"Ni muda kwa wananchi kujiepushe na baadhi ya vitendo vinavyosababisha kuenea kwa ugonjwa wa Ebola kama kula nyama za wanyama poli aina ya Popo,Tumbili na Sokwe, kujiepushe na mikusanyiko isiyo kuwa na ulazima, kuepuka kugusa Mate, Jasho, Kamasi na Kinyesi, kutumia Nguo, Godoro na vifaa vya mtu mwenye maambukizi au mtu mwenye dalili za ugonjwa wa huo" Dkt. Boniface Kasululu.

Hata hivyo amewataka wananchi kuchukua tahadhali wakati wa kuosha maiti ya mtu aliye fariki kwa dalili tajwa hapo juu.

MWISHO.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.