• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SONGWE KINARA WA KUTOA ELIMU YA UZALENDO KWA WANAFUNZI

Posted on: February 21st, 2020

  Mkoa wa Songwe umekuwa kinara wa kuanzisha utaratibu wa kutoa elimu ya Uzalendo kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari ili kujenga kizazi cha wazalendo wanaoipenda Nchi yao.

Afisa Elimu Mkoa, Juma Kaponda amesema utaratibu huu utakuwa endelevu ijapokuwa sasa elimu hiyo inaanza kutolewa kwa wanafunzi wote wa kidato cha Tano na Sita wa kwa sasa wanaanza na Shule za kidato cha 5 na 6 baadae elimu hiyo itafika kwenye Shule zote za Sekondari.

Kaponda amesema Uzalendo kimsingi ulikua imepotea kwa wanafunzi, Walimu, Wasimamizi wa Elimu, Wazazi na Walezi hivyo elimu ya uzalendo itasaidia kuzua kuendelea kuharibika kwa jamii.

Muelimisha Jamii na Muandishi wa kitabu cha Uzalendo, Joel Arthur Nanauka amewafundisha wanafunzi maana halisi ya uzalendo kwa Nchi, kuijua Nchi yao vizuri, kutokuwa mzigo kwa Nchi, kutoshiriki maovu, kuwasaidia na kutetea wanyonge na wanaoonewa na kujitoa kwa ajili ya Nchi yako.

Nanauka amesema  namna ya kuonyesha uzalendo kwa Nchi ni pamoja na kuzungumzia mema ya Nchi, kupenda kuonyesha alama za utaifa kwa kuvaa nguo zenye alama ya Taifa, kutoa ushirikiano kwa viongozi katika shughuli za maendeleo.

Ameongeza kuwa mzalendo anapaswa kununua bidhaa za ndani ya nchi yake, kushiriki kuifanya nchi yake kuwa salama, kushiriki kuchagua viongozi kwa njia ya kupiga kura, kuheshimu sheria za Nchi, kuheshimu na kukubali tofauti baina ya watu, kujitolea kujenga Nchi na kutumia vizuri mali za umma.

Nao wanafunzi waliopata mafunzo ya Uzalendo wameupongeza uongozi wa Mkoa wa Kuona Umuhimu wa wanafunzi kuoata elimu hiyo na kuomba utaratibu huo uwe endelevu na uwafikie wanafunzi wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.