• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAARIFA KUHUSU WANAFUNZI WATAKAO JIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019

Posted on: December 14th, 2018

   Disemba 14, 2018 

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019

 Mkoa wa Songwe umefanya uteuzi wa jumla ya Wanafunzi 16,223 waliofaulu masomo ya elimu ya msingi ili waweze kujiunga na masomo ya sekondari kwa kidato cha kwanza mwaka 2019 ambapo kati ya hao wavulana ni 7,391 na wasichana ni 8,832.

Wanafunzi hao watapangiwa katika shule za sekondari 87 za Mkoa wa Songwe, aidha Mkoa umepewa nafasi za wanafunzi 64 watakaopangiwa shule za bweni za ufundi na kawaida kutokana na ufaulu mkubwa walioupata huku wanne kati yao wenye mahitaji maalumu wamepangiwa shule na Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Lauteri Kanoni amezitaka Halmashauri zote zikamilishe miundombinu ya vyumba vya madarasa 161 na madawati 8770 ifikapo  Disemba 30, 2018 ili kumaliza upungufu uliopo na hivyo wanafunzi wote waliopangiwa waanze masomo shule zitakapofunguliwa.

Kanoni ametoa wito kwa wazazi na walezi kuanza maandalizi mapema na kutumia fedha kwa uangalifu katika msimu huu wa sikukuu ili ifikapo Januari 2019 wawe na akiba kwa ajili ya maandalizi ya wanafunzi hao, pia kuhakikisha wanafunzi wanafika shuleni bila kusubiri msako wa wanafunzi watakaoshindwa kuanza shule.

Naye Afisa Elimu Mkoa wa Songwe Juma Mhina amesema ufaulu kwa Mkoa wa Songwe umepanda kwa asilima 9 huku akieleza kuwa Mkoa umeweka mikakati madhubuti ya kuimarisha elimu msingi ikiwa ni pamoja na kutoa motisha kwa walimu waliofanya vizuri, kuimarisha ufuatiliaji wa ufundishaji wa waalimu na kuhimiza wazazi kuchangia chakula.

 Imetolewa na:

Grace Gwamagobe

 Afisa Habari Mkoa wa Songwe 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.