• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAPOKEZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2023 YAFANYIKA MKOA WA SONGWE.

Posted on: September 2nd, 2023


Mkuu wa mkoa wa Songwe,Dk Francis Michael Katikati, Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda (wa kwanza kutoka upande wa Kulia) na Mkurugenzi wa wilaya ya Songwe.

Dk Francis amesema kuwa Mwenge wa Uhuru 2023 utapitia miradi 47 yenye thamani ya Sh15.5 bilioni katika mkoa huo.
Dk Michael amesema hayo baada ya kupokea Mwenge wa Uhuru kimkoa leo  Jumamosi asubuhi Septemba 2, 2023 kabla ya kuanza kukimbizwa katika Wilaya ya Momba.
"Tumeupokea Mwenge wa Uhuru ukiwa salama na utakimbizwa Kilometa 722 na utapitia miradi 47 yenye thamani ya Sh15.5 bilioni" amesema Mkuu huyo wa Mkoa.

Dk Michael amesema kuwa baadhi ya miradi itazinguliwa, kuwekewa mawe ya msingi na kutembelewa.Mwenge huo wa Uhuru 2023 umepokelewa leo  eneo la Kamsamba Wilayani Momba kabla ya kuanza kukimbizwa katika Halmashauri zote tano za mkoa huo.


Baadhi wa viongozi waliofika ni pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Happiness Seneda, Wakuu wa wilayaza na Wakurugenzi, makatibu tawala wa wilaya za Halmashauri za Mkoa wa Songwe, viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi, wafanyakazi na wananchi.



Baada ya Mwange huo wa Uhuru kukabidhiwa katika Mkoa wa Songwe umeanza kukimbizwa katika Halmashauri tano za Mkoa wa Mkoa wa Songwe ukianza na Momba, Songwe, Mbozi, Tunduma na kuhitimishwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.