• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAPOKEZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2023 YAFANYIKA MKOA WA SONGWE.

Posted on: September 2nd, 2023


Mkuu wa mkoa wa Songwe,Dk Francis Michael Katikati, Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda (wa kwanza kutoka upande wa Kulia) na Mkurugenzi wa wilaya ya Songwe.

Dk Francis amesema kuwa Mwenge wa Uhuru 2023 utapitia miradi 47 yenye thamani ya Sh15.5 bilioni katika mkoa huo.
Dk Michael amesema hayo baada ya kupokea Mwenge wa Uhuru kimkoa leo  Jumamosi asubuhi Septemba 2, 2023 kabla ya kuanza kukimbizwa katika Wilaya ya Momba.
"Tumeupokea Mwenge wa Uhuru ukiwa salama na utakimbizwa Kilometa 722 na utapitia miradi 47 yenye thamani ya Sh15.5 bilioni" amesema Mkuu huyo wa Mkoa.

Dk Michael amesema kuwa baadhi ya miradi itazinguliwa, kuwekewa mawe ya msingi na kutembelewa.Mwenge huo wa Uhuru 2023 umepokelewa leo  eneo la Kamsamba Wilayani Momba kabla ya kuanza kukimbizwa katika Halmashauri zote tano za mkoa huo.


Baadhi wa viongozi waliofika ni pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Happiness Seneda, Wakuu wa wilayaza na Wakurugenzi, makatibu tawala wa wilaya za Halmashauri za Mkoa wa Songwe, viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi, wafanyakazi na wananchi.



Baada ya Mwange huo wa Uhuru kukabidhiwa katika Mkoa wa Songwe umeanza kukimbizwa katika Halmashauri tano za Mkoa wa Mkoa wa Songwe ukianza na Momba, Songwe, Mbozi, Tunduma na kuhitimishwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.

MWISHO.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA PROGRAM JUMUISHI YA TAIFA YA MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO (PJT-MMMAM) MKOA WA SONGWE

    September 21, 2023
  • UZINDUZI WA CHANJO YA POLIO MKOA WA SONGWE 2023

    September 21, 2023
  • MKUTANO WA SITA (6) WA BARAZA LA BIASHARA 2023

    September 13, 2023
  • ZIARA YA SIKU TATU YA WAZIRI WA AFYA MHE. UMMY MWALIMU MKOA WA SONGWE

    September 11, 2023
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.