• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TUHUMA 13 ZA MKURUGENZI ILEJE KUCHUNGUZWA

Posted on: May 24th, 2019

 Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. (Mst) Nicodemus Mwangela ameunda timu ya kuchunguza tuhuma 13 zilizo elekezwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ileje na kuelekeza kuwa timu hiyo ifanye uchunguzi huo kwa haraka.

Brig. Jen. (Mst) Mwangela amefikia uamuzi huo mara baada ya majadiliano ya kikao cha pamoja na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje waliomuandikia barua wakiwasilisha tuhuma za kutoridhishwa na utendaji wa Mkurugenzi huyo.

“Nimefanya ziara Wilaya ya Ileje baada ya kupata barua kutoka kwa Madiwani wakimtuhumu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ileje, kabla ya kufanya maamuzi tumejadiliana na nimefikia uamuzi wa kuunda tume ambayo itachunguza tuhuma zote 13 walizowasilisha”, ameeleza Brig. Jen. (Mst) Mwangela.

Amesema kazi kubwa ya tume hiyo ni kuhakikisha wanapata ukweli na uhalisia juu ya tuhuma hizo huku akielezea kuwa moja ya tuhuma ni udhaifu katika kukusanya mapato.

“Kuna tuhuma ambazo tunaona zina ukweli mfano Ileje haijafanya vema katika suala la ukusanyaji wa mapato, sasa tumebakiza mwezi mmoja mwaka wa fedha uishe lakini wamefikia asilimia 58 tu ya makusanyo ambapo ni asilimia ndogo ikiwa lengo ni angalau zaidi ya asilimia 80 kwahiyo hapo kuna dalili za uvujishaji wa mapato”, amefafanua Brig. Jen. (Mst) Mwangela

Brig. Jen. (Mst) Mwangela ameongeza kuwa licha ya kwamba uchunguzi unaendelea ametoa maelekezo na mikakati ambayo itasaidia kuhakikisha kazi ya ukusanyaji wa mapato inaendelea vizuri.

“Lengo ni kukusanya vizuri kwahiyo katika kikao tumeweka mikakati itakayosaidia kukusanya mapato na tuna amini waendaji wote wa halmashauri ya Wilaya ya Ileje watafanya kazi kwa umakini mkubwa huku kamati ya fedha na mipango ya madiwani itasimamia hilo vema”, amesema Brig. Jen. (Mst) Mwangela.

 Baadhi ya tuhuma ambazo Madiwani wamezielekeza kwa Mkurugenzi wa halmashauri ni pamoja na matumizi mabaya ya ofisi na tuhuma katika masuala ya nidhamu

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.