• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UJENZI SOKO LA MAZAO KAKOZI UFANYIKE MCHANA NA USIKU

Posted on: September 5th, 2019

  Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela ameagiza ujenzi wa Soko la Mazao la Kakozi lililopo Wilaya ya Momba ufanyike mchana na usiku kutokana na kuchelewa kuanza.

Brig. Jen. Mwangela ametoa agizo hilo jana jioni alipotembelea eneo la ujenzi wa Mradi huo na kukagua maendeleo ya ujenzi huo ambao mpaka kukamilika kwake utagharimu shilingi shilingi bilioni 8 na mpaka sasa serikali imetoa shilingi bilioni 2.

“Naagiza ujenzi huu ufanyike Mchana na Usiku kwani tuko nyuma ya muda kwa Zaidi ya miezi mitatu, Mkurugenzi hakikisha hilo linafanyika na Tanesco ninawaelekeza waweke umeme hapa ili mafundi hawa wakamilishe kazi hii kwa muda muafaka”, ameelekeza Brig. Jen. Mwangela.

Ameongeza kuwa ujenzi wa Soko hilo la mazao ni Mkombozi kwa wakulima wa Wilaya ya Momba na Mkoani Songwe kwani watapata sehemu ya kukusanyia mazao ya na kuyauza kwa bei sahihi kuliko kufuatwa na walanguzi mashambani ambao huwapunja.

“ Soko hili litawaokoa wakulima hawana mahali pa kuuzia mazao yao, kuna wao wanaenda huko wanawadanganya na kuchukua mazao yao kwa bei nafuu sana lakini Mkulima wetu akipata nafasi ya kufikisha mazao yake katika soko hili akaja kuyauza mwenyewe atauza kwa bei nzuri”, amesisitiza Brig. Jen. Mwangela

 Aidha amewataka mafundi wanaojenga soko hilo kuonyesha ufundi wao kwa kujenga kwa viwango na kwa kasi nzuri ili wakulima wanufaike na mafundi nao wanufaike kwa kukamilisha ujenzi kwa muda mfupi ili wapate faida.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.