• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI.

Posted on: September 9th, 2022

VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI.

Na. Nicholas Ndabila.

SONGWE: Mkuu wa mkoa wa Songwe Mhe. Waziri Kindamba amewataka vijana mkoani Songwe kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazoletwa na Serikali ya awamu ya sita katika mkoa wa Songwe ili kujiimarisha kiuchumi wenyewe, familia zao na Taifa kwa ujumla.

Mheshimiwa Kindamba amesema hayo Septemba, 9 aliposhiriki Swala ya pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Mskiti wa Masijid Noor uliopo mji wa Vwawa Wilayani Mbozi.

Amezitaja baadhi ya fursa kama vile Kilimo, ufugaji, utalii, uchimbaji wa madini, Biashara, fursa ya Mkoa wa Songwe kupakana na Nchi ya mbili ya Zambia na Malawi na kuufanya Mkoa kuwa lango kuu la Nchi za ukanda wa Afrika kusini.

Mhe. Kindamba amesema kwa sasa mpango wa Serikali ni kuwa na Bandari kavu katika mji wa Tunduma, hivyo ametoa wito kwa vijana kuhakikisha wanakuwa miongoni mwa watu ambao watanufaika na uwepo wa Bandari kavu pamoja na fursa nyingine.

"Namuomba mwanyezi Mungu kwa muda wote nitakapo kuwa hapa anijalie nizitengeneze fursa nyingi kwa vijana wa Songwe na vijana kweli mzichangamkie fursa izo" Mhe. Waziri Kindamba Mkuu wa Mkoa wa Songwe.

Aidha Sheikh wa Mkoa wa Songwe Sheikh. Husein Butuza amesema baadhi ya mikakati wanayo fanya ni pamoja na ujenzi wa kituo cha Afya katika Mji wa Tunduma ili kusaidiana na Serikali katika utoaji wa huduma za Afya.

Mhe. Kindamba amesema ataendelea kushirikiana na Dini zote ili kuhakikisha Mkoa una piga hatua mbele kimaendeleo.

Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa amewaomba waumini kuendelea kupata chanjo ya UVIKO-19.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.